Sifa hizi ni za bundi tu

Sifa hizi ni za bundi tu

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
ImageUploadedByJamiiForums1411412204.206110.jpg
kwa mujibu kwa kijarida kidogo cha watafiti jamii ya ndege wafugwao na wasiofugwa , imethibitisha kwamba bundi ndio ndege anaeongoza kwa kuwa na sura mbaya na isiovutia kabisa
ImageUploadedByJamiiForums1411412363.500769.jpg
jamii hii ya ndege arukae na asiefugwa pia imemthibitisha kabisa kuwa ndie ndege pekee duniani ambae ajengi kiota chake kama walivyo jamii ya ndege wengine,na mpaka leo aijajulikana kwanini,,
ImageUploadedByJamiiForums1411412519.492935.jpg
ndege huyu ambae maharufu sana hasa katika nchi za kitropic, uhusishwa sana na imani za kishirikina na bahadhi ya maeneo uwa ni mkosi pale anapoonekana
ImageUploadedByJamiiForums1411412662.204931.jpg
hasa hasa ukanda huu wa afrika ya mashariki
 
ni kiumbe waajabu sana wandugu.anamacho kama paka!!!!
 
Ni mzuri sana beautiful bird, lakini hafugiki ni mkali sana ukimshika vibaya lazima akuparuwe na sijui kama sheria inaruhusu kumhifadhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom