Kuna mkaka nimemkuta anasema jana hakuna kitu alichofaidi kama **** za bure kwa sababu sikukuu wanawake wanalewa sana na kujisahau kwa nn sikukuu tunafanya ndo siku za maovu?
Mi sioni point ya kufunga mwezi mzima afu mkifungulia dhambi na anasa zile zile huu unafiki huu
Nilikuwa siamini kama hawa wafungaji siku wanafungua hufanya mambo ya ajabu sana,jana ndio nimejionea binti kalewa mpaka anarudisha chenji hovyo..
Kuna mkaka nimemkuta anasema jana hakuna kitu alichofaidi kama **** za bure kwa sababu sikukuu wanawake wanalewa sana na kujisahau kwa nn sikukuu tunafanya ndo siku za maovu?