Sielewi ujenzi unaoendelea Ubungo interchange

Labda huna utaalamu wa ujenzi, waulize wataalamu watakujibu. Kuna mtu aliuliza hajui kinachoendelea wakati wa ujenzi wa barabara za mwendo kazi, eti wanapwaruza tu na kuharibu barabara. Mwishowe kikatokea kitu cha uhakika na magari yanachapa mwendo. Tulia mwisho wa siku utaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hawa jamaa shida sana! Kila kitu ni kunung'unika tu!
 
Barabara inaishia kibamba?


Mbona wapo Hadi kiluvya huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meko msanii sana yaani ! Mama yangu mzazi aliwahi niambia nikiwa mdogo kuwa"kua mwanangu uyaone"kweli naendelea kushuhudia hizi movie za kikorea
Wanajamvi,naombeni kuuliza,hivi kile kitu kinachojengwa pale ubungo ndo kile kile ambacho Magufuli alituambia watani zake wazaramo tutapiga picha sana pale au kile ni kitu kingine?nisaidieni please mnaojua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamvi,naombeni kuuliza,hivi kile kitu kinachojengwa pale ubungo ndo kile kile ambacho Magufuli alituambia watani zake wazaramo tutapiga picha sana pale au kile ni kitu kingine?nisaidieni please mnaojua
...It serves the same.
 
Nilikuwa nimesimama sehemu taswira ya interchange ya ubungo ikanijia nikauona utukufu wa awamu ya V kupitia interchange ile,ghafla taswira ya watoto fulani wakiwa darasani wamekaa chini kwa kukosa madawati ikanijia nikahuzunika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…