Sielewi nini shida msaada please

Ulimbania sana iyo siku akawa na usoongo na wewe soo hata maandalizi hakukufanyia inauma koz migenye imechokozwa na hakuzichokonoa na kuzitoazoteee..pili ivi ni kweli ulikaa mwaka bila kuguswa na dushee?pole wee mwambie aje uurudie mchezo aweke mambo sawa
 
Picha tafadhali ili upate jibu sahihi
 

nina mda kama wa mwaka na miezi 9 kwaiyo na mm nitaumia duhhhhhhh i seeeee
 

kacheki.. gonnorea na syphilis ni magonjwa ya dalili hizo..
 
loading error....................................lolest
 
Hahahaha haki ya nani kutokujuana raha sana yani unajiachia utakavyo
 
Mmmmmh unantisha, inamaana mie maumivu yangu yatakuwa triple coz nnamiaka tiriri cja.....!
 
Vitu vingine buana vinachekesha na kuudhi hapo hapo.....Jieleze vizuri wakueleweshe wajuzi wa mambo Bi midizi Senene.
 

utauwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…