Sielewi kwanini watu husherekea siku ya kuzaliwa

Sielewi kwanini watu husherekea siku ya kuzaliwa

Cjaona sababu ya kusheherekea hii cku. Ila ni cku ambayo mtu unatakiwa ukae chini ujitathmini kwamba tokea ulipo letwa hapa kwa hii dunia na muumba wako kupitia kwa mama yako mpendwa, je ni kitu gani umekifanya au umefanya jema gani kwa ajili ya aliekuleta hapa na je cku ukifa ni yapi yatakuwa mafio au mapokeo yako huko unapokwenda?. Kwa wale wenzangu ambao wana hofu ya mungu watanielewa so kama we ni mpagani hii haikuhusu
 
Wakristo wana Christmas na waislamu wana maulid.

Wote mliochangia uzi huu nina uhakika ni watumwa wa hizo dini mbili za mashariki ya kati.

Acheni unafki. Mimi sifanyi mbwembwe zozote siku ya birthday yangu lakini wenye pesa za mchezo let them be ndio matumizi ya pesa.

Haya maisha ukijifanya serious sana utaishia kupata stroke watu wakukung'itie tu mkeo.
 
Life is all about happiness. Jambo lakumpa binadamu furaha nafsini mwake bila kuletea wengine madhara mwache afanye.
 
Kinachokera zaidi na kupoteza maana ni pale unapobaini umezaliwa siku ya jumatatu na wewe unasherehekea siku ya kuzaliwa kwako jumatano, tena kwa kuwalazimisha ndugu jamaa na marafiki kukuchangia....!!

Nyambaaaaf...!
 
Wakristo wana Christmas na waislamu wana maulid.

Wote mliochangia uzi huu nina uhakika ni watumwa wa hizo dini mbili za mashariki ya kati.

Acheni unafki. Mimi sifanyi mbwembwe zozote siku ya birthday yangu lakini wenye pesa za mchezo let them be ndio matumizi ya pesa.

Haya maisha ukijifanya serious sana utaishia kupata stroke watu wakukung'itie tu mkeo.
Hyo maulidi cyo kwa waislam wote
 
Kinachokera zaidi na kupoteza maana ni pale unapobaini umezaliwa siku ya jumatatu na wewe unasherehekea siku ya kuzaliwa kwako jumatano, tena kwa kuwalazimisha ndugu jamaa na marafiki kukuchangia....!!

Nyambaaaaf...!
Wewe una matatizo kichwani siyo bure, hivi unaijuwa vizuri Gregorian calendar?

Kwa taarifa yako wapo ambao tarehe walizozaliwa kuna miaka hazifiki hizo tarehe tunageuza mwezi, maana yake kuna miaka wanakosa birthday zao.
 
Ushawahi kufikiria kujiua usiwepo duniani? Ukifariki dunia itapata hasara gani?

Ushawahi kuona movie inaitwa "It's A Wonderful Life" ?

It's a Wonderful Life - Wikipedia
best movie kwangu kwa movie za kitambo jamaa baada kuona deni litamuelemea akaona bora afe baada kujirusha darajani kilichotokea aliomba tu arudishwe duniani yaan akaona deni si chochote movie nzuri sana ila walocheza ile movie wote washakufa aisee walio hai ni wale waloact watoto wake yule wa kike hadi kimdoli chake akawa yupo nacho kwenye future na yule mdogo ndo pekee wapo hai mpk sasa
 
best movie kwangu kwa movie za kitambo jamaa baada kuona deni litamuelemea akaona bora afe baada kujirusha darajani kilichotokea aliomba tu arudishwe duniani yaan akaona deni si chochote movie nzuri sana ila walocheza ile movie wote washakufa aisee walio hai ni wale waloact watoto wake yule wa kike hadi kimdoli chake akawa yupo nacho kwenye future na yule mdogo ndo pekee wapo hai mpk sasa
Dah, mazee umeikubali eeh? Ile movie ni classic.

Mtu akitaka kuhoji kwa nini kuna kusheherekea maisha, inabidi aangalie ile movie.
 
Dah, mazee umeikubali eeh? Ile movie ni classic.

Mtu akitaka kuhoji kwa nini kuna kusheherekea maisha, inabidi aangalie ile movie.
sana tuu naikubari nakumbuka hii movie mara ya kwanza niliicheck 2012 siku naijua wala sikuwa kuisikia niliikuta kwenye Xtno HDD niliyoinunua siku moja nipo home siku hiyo sikuwa na movie ya kuangalia km ningesema niirushe kwa kuchunguza km nzuri nisingeiangalia ila siku hiyo nimeanza nayo mwanzo taratibu nikawa naanza kuielewa mpk kesho sijawaifuta kwenye PC zaidi ya kuhamisha tu kila ninapokuwa na PC mpya
ile movie ilimfanya jamse stewart awe nominated OSCRA katika best actor mwaka huo
 
Wewe una matatizo kichwani siyo bure, hivi unaijuwa vizuri Gregorian calendar?

Kwa taarifa yako wapo ambao tarehe walizozaliwa kuna miaka hazifiki hizo tarehe tunageuza mwezi, maana yake kuna miaka wanakosa birthday zao.
Sasa unasherehekea siku ama tarehe ya kuzaliwa....!?

Mbona siku ya kuzaliwa Yesu Kristo ni lazima iangukie Jumapili...!!

Acha Umburura wa kuiga mambo usiyo fahamu chanzo chake...!
 
sana tuu naikubari nakumbuka hii movie mara ya kwanza niliicheck 2012 siku naijua wala sikuwa kuisikia niliikuta kwenye Xtno HDD niliyoinunua siku moja nipo home siku hiyo sikuwa na movie ya kuangalia km ningesema niirushe kwa kuchunguza km nzuri nisingeiangalia ila siku hiyo nimeanza nayo mwanzo taratibu nikawa naanza kuielewa mpk kesho sijawaifuta kwenye PC zaidi ya kuhamisha tu kila ninapokuwa na PC mpya
ile movie ilimfanya jamse stewart awe nominated OSCRA katika best actor mwaka huo
Huku US kila mwaka Christmas Eve lazimawaionyeshe nchi nzima TV stations nyingi sana movie hii.

Ni kati ya oldies fulani ambazo unaweza kuangalia over and over hata huchoki.
 
Back
Top Bottom