Sielewi dhamira ya huyu dada kwangu

Sielewi dhamira ya huyu dada kwangu

Hahahaa. Subiri nitafute miwani mdogo wangu. Naja naja sasa hivi kusoma kisha nikwambie kilichojiri.

zeshchriss mkombozi wenu nipo ngoja nivae miwani kisha nipitie mstari kwa mstari niwaambie nini mleta uzi anataka saidiwa sababu na weye najua umeisha katikati. Hahahaaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uvivu huu utaniua
 
Summary.

Amehamia nyumba nzuri mtaani kwao.

Amelipiwa bili na kugewa chakula na mpangaji mwenzake.

Lakini anahisi huyo mpangaji anamchukia hivyo hamuelewi.

Ushauri wangu kwa mleta uzi:
Kuna gesti na dildo, jiongeze.
wallah nimecheka mpk basi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Pamoja na watu kukuponda ulivyoandika ila nmekuelewa japo hueleweki sana kwa jinsi ulivyomfafanua hyu demu,ila ngoja nikupe ushauri kidgo halaf utapata jib ni aina gan ya huyu dada alivyo na nia yake kwako,,nenda katafute demu mkali mara kumi ya yeye,ambae anavutia kuanzia juu mpk chini,hakikisha anavutia kweli kweli zaid yake,halaf nenda nae nyumban na uhakikishe hyo dada yupo,kaeni ndan kama unapika piken kula halaf usimfanye cchte wakat unatoka kumsindikiza hakikisha hyo dada na house gal wake wapo nje ita uber mpe huyu dem uliekuja nae mle laki mbili au tatu mbele yao halaf muagane vzr baada ya hapo utajua nia haswa ya huyo mwanamke ni nn.[emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112]
mmmmmh laki mbili tena
 
Pamoja na watu kukuponda ulivyoandika ila nmekuelewa japo hueleweki sana kwa jinsi ulivyomfafanua hyu demu,ila ngoja nikupe ushauri kidgo halaf utapata jib ni aina gan ya huyu dada alivyo na nia yake kwako,,nenda katafute demu mkali mara kumi ya yeye,ambae anavutia kuanzia juu mpk chini,hakikisha anavutia kweli kweli zaid yake,halaf nenda nae nyumban na uhakikishe hyo dada yupo,kaeni ndan kama unapika piken kula halaf usimfanye cchte wakat unatoka kumsindikiza hakikisha hyo dada na house gal wake wapo nje ita uber mpe huyu dem uliekuja nae mle laki mbili au tatu mbele yao halaf muagane vzr baada ya hapo utajua nia haswa ya huyo mwanamke ni nn.[emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112]

Ha haaaa Mkuu atapewa notisi siku hiyo hiyo . Mtoto kashamwelewa huyu sema anashindwa kujiongeza..
 
Mtu wa aina hiyo anakupaje chakula unakula unaakili kweli? Ulipokuta kanunua umeme kwanini hukumrudishia pesa yake? Wewe ndio hueleweki kbs kuliko huyo dada.
 
Summary.

Amehamia nyumba nzuri mtaani kwao.

Amelipiwa bili na kugewa chakula na mpangaji mwenzake.

Lakini anahisi huyo mpangaji anamchukia hivyo hamuelewi.

Ushauri wangu kwa mleta uzi:
Kuna gesti na dildo, jiongeze.
Soma vizuri, kuna pointi umemiss.Jamaa kasema huyo ni binti ya huyo mama.Si mpangaji mwenzake
 
Back
Top Bottom