Shixi889
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 338
- 208
Nko katika age ambayo wadada wengi wanatamani sana kuolewa na siwezi kataa hata mimi pia natamani sana atokee wa kunioa.
I have bin single for a while baada ya mwanaume nlieachana nae kuwa too overprotected na wivu wa ajabu sana we planned to marry but nilimpa muda wa miezi sita kwanza tuchunguzane nsije nikavaa mkenge nashukuru sana Mungu kwa maamuzi yangu hayo.
Recently nimekutana na huyu mtu ambaye ananifahamu toka utotoni tumekuwa pamoja na toka siku hizo alikua akiniambia mie ndo ntakuwa mkewe thou sikumweka akilini kabsa.
Tulikua close kama marafiki wa kawaida kwa muda mrefu sana mpaka tulipofika chuo kila mtu akaendelea na maisha yake.
Siwezi kumsema kwa upande wake sababu sijui kwa hakika alichokua akifanya kwa upande wangu nshakuwa katika mahusiano na ni kama I have never been luky pande hizo.
Now he is serious kwamba anataka kunioa na anataka kwenda kujitambulisha home.
Na anainsist kuwa hata kama siko tayari kwa sasa atanisubiri "wee endelea tu maisha yako ukichoka mie nko nakusubiri" ndo alichonambia.
Sielewi cha kufanya sababu
1.Sijawai kumpenda kabsa as mpenzi nampenda kama rafiki yangu wa karibu.
2.Nimechoka kuanzisha mahusiano ambayo hayatadumu.Na i guess am desparate wadogo zangu
wameoa na kuolewa mie nipo nipo tu.
3.Once I was chuo my dad alishwai nambia hatapenda kusikia nimeolewa na kabila fulani ambalo ni
la huyo mwanaume.
Na sidhani kama ni choise ya my mom pia cz enzi hizo alikua akija home
my mom hajawai kumchangamkia na nlikua nashangaa kwa nini.
4.Na wasiwasi na mahusiano yake what if ana mtu ambaye alikua nae serious na labda huyo mdada kawekeza mengi sii ntafanyiwa kitu kibaya jamani i believe in what goes around comes around.
:disapointed:
I have bin single for a while baada ya mwanaume nlieachana nae kuwa too overprotected na wivu wa ajabu sana we planned to marry but nilimpa muda wa miezi sita kwanza tuchunguzane nsije nikavaa mkenge nashukuru sana Mungu kwa maamuzi yangu hayo.
Recently nimekutana na huyu mtu ambaye ananifahamu toka utotoni tumekuwa pamoja na toka siku hizo alikua akiniambia mie ndo ntakuwa mkewe thou sikumweka akilini kabsa.
Tulikua close kama marafiki wa kawaida kwa muda mrefu sana mpaka tulipofika chuo kila mtu akaendelea na maisha yake.
Siwezi kumsema kwa upande wake sababu sijui kwa hakika alichokua akifanya kwa upande wangu nshakuwa katika mahusiano na ni kama I have never been luky pande hizo.
Now he is serious kwamba anataka kunioa na anataka kwenda kujitambulisha home.
Na anainsist kuwa hata kama siko tayari kwa sasa atanisubiri "wee endelea tu maisha yako ukichoka mie nko nakusubiri" ndo alichonambia.
Sielewi cha kufanya sababu
1.Sijawai kumpenda kabsa as mpenzi nampenda kama rafiki yangu wa karibu.
2.Nimechoka kuanzisha mahusiano ambayo hayatadumu.Na i guess am desparate wadogo zangu
wameoa na kuolewa mie nipo nipo tu.
3.Once I was chuo my dad alishwai nambia hatapenda kusikia nimeolewa na kabila fulani ambalo ni
la huyo mwanaume.
Na sidhani kama ni choise ya my mom pia cz enzi hizo alikua akija home
my mom hajawai kumchangamkia na nlikua nashangaa kwa nini.
4.Na wasiwasi na mahusiano yake what if ana mtu ambaye alikua nae serious na labda huyo mdada kawekeza mengi sii ntafanyiwa kitu kibaya jamani i believe in what goes around comes around.
:disapointed: