Tutajie faida na hasara zake...?Kuna dentist mmoja yuko loyal sana anakwambia options zote na faida na hasara zake
Anaitwa Gupta, yuko mtaa wa India na Uhuru
Aliwahi kuwa Head of Dentists Faculty MUHAS, Chairman wa Dentists Association
Yuko vizuri sana ingawa bei zake zimeenda shule
Mie alinifanyia hiyo Root Canal ni zaidi ya miaka 10 sasa niko vizuri
Hiyo mitaa iko Dsm, Maeneo ya Clock Tower, Kata ya MchafukogeTutajie faida na hasara zake...?
Hiyo mitaa iko mkoa gani mkuu,tupo watu mbali mbali humu..
Hiyo mitaa iko Dsm, Maeneo ya Clock Tower, Kata ya Mchafukoge
Wasiliana nae kwa LandlineNingepata namba zake huyo ingekuwa powa sana.
Mana nataka nikazibe jino sasa ukimpata mpuuzi mpuuzi anaweza kukuharibiaa bora upate mtu hakika kabisa.
Bima anatumia huyo..?
Poa poa kakaaWasiliana nae kwa Landline
022 211 8838