Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Baada ya mimi kukataa kumbebea mkoba wake kama wengne wafanyavyo yamemtoka maneno mazito hadi ya wewe kama unanitumia niambie.
Sasa najiuliza maneno yote yametokea wap jameni
Anyway, mimi na wewe tuwe wapenzi tuu ila mambo ya namna hiyo sifanyi. Mimi ni mwanaume wa Dar nakubali ila siwezi fanya hivo
Uzi tayar.
Tukio hili limetokea asubuh hii
Sasa najiuliza maneno yote yametokea wap jameni
Anyway, mimi na wewe tuwe wapenzi tuu ila mambo ya namna hiyo sifanyi. Mimi ni mwanaume wa Dar nakubali ila siwezi fanya hivo
Uzi tayar.
Tukio hili limetokea asubuh hii