Siasa za Udahili: Muslim University of Morogoro

Mtoa mada alionya toka mwanzo kuhusu kutokuchafua hali ya hewa. Lakini ndugu zangu hapa naona mmelianzisha chini kwa chini.
 
Eti ukionekana Bar au Guest chuo huna...sasa wewe mwanafunzi tena katika chuo cha Kiislamu tukuwache tu bila kukukemea...uende ukanywe pombe ..uende ukafanye zinaa tukutazame....ndo ulichokifuata chuo?
Maliza chuo then ukafanye ufirauni wako huko mbele.....
 
Mkuu jitenge na dharau, usiiite hoja yangu "porojo"
Chungulia kama vile unafanya proff reading, unaposema vyuo vya kikristo vinafundisha theology ungeweka kipambanuzi kwa upande wa pili kuwa wanafundisha kuruani, lakini sijui kwa nini huoni kuwa tofauti ya hiki chuo ni kuwa chenyewe kinaitwa CHUO CHA KIISLAMU.

Hivyo vyengine havijaitwa ni vyuo vya kikristo.
Kumbe MUM wanatoa degree ya Qur'an!
 
Watu wenye chuki na Uislamu mtapata shida sana katika nafsi zenu kwa kutafuta sababu ambazo hazipo ...wakati huo dini hii mnayoichukia ikizidi kuenea na kuimarika.
 
Tumejiimarisha kutoa PhD za Aeronautical Sciences katika ukanda huu wa Afrika Mashariki
 
Tumejiimarisha kutoa PhD za Aeronautical Sciences katika ukanda huu wa Afrika Mashariki
Usijali mkuu,watu wameanza na Chinese language ambayo na UDSM nayo wakaiga baada ya wanaume kuwaonyesha mwanga.
Halafu nadhani wajua yale mashule yenu ya chekechea mliyoyafungia kwa aibu.
Mahasidi mna roho mbaya nyinyi,nyoooh.
Eti chuo chenyewe kinaitwa Muslim university of Morogoro,ila vile catholic university of health and allied science ,na wa kina Kilimanjaro Christian medical centre huoni shida.
Waooogaa...!!! nadhani kwa sababu mwajijua kwamba vichwani mu weupe kama toilet papers.
Zile ngonjera na kasumba za kutokuwa na akili naona sasa mwajisuta.
Ona wanaseminari wenzako wanayoyafanya huko serikalini,huoni aibu.
 
hv kabsa MtMtu unaenda kusoma MuM
jamaa zangu wa kigalatia sijui kwani hamnaga reasoning capacity,sijui tatizo liko ki DNA zaidi au ni malezi ya kifreestyle,mama yuko kitchen paty mpaka saa tisa,baba yuko samakisamaki mpaka saa 12 asubuhi,watoto wakowako tu kifreestyle huku wakijinyonyea viroba kwa chati,walivyovinunua toka street corner shop
 
Mkuu jitenge na dharau, usiiite hoja yangu "porojo"
Chungulia kama vile unafanya proff reading, unaposema vyuo vya kikristo vinafundisha theology ungeweka kipambanuzi kwa upande wa pili kuwa wanafundisha kuruani, lakini sijui kwa nini huoni kuwa tofauti ya hiki chuo ni kuwa chenyewe kinaitwa CHUO CHA KIISLAMU.

Kweli mnajua kuchafua hali ya hewa-jiulize CUHAS na KCMC ni vitu gani?
Hivyo vyengine havijaitwa ni vyuo vya kikristo.
 
Mkuu mimi sijapinga hayo unayoyasema, kwa mtizamo wangu sioni kwanini hii kama Institution haitaki kuwa chini ya TCU?
Nani amesema hawako chini ya TCU? Ni kwenye udahili tu ndio wanatumia njia tofauti (kwa makubaliano na TCU) lakini wanafuata vigezo vyote vya TCU na wanapokuwa na majina huyapeleka TCU kwa uthibitisho. Kumbuka TCU ndio regulator wa higher education Tanzania kisheria.
 
kwendraaaaa mbulaaaa wewe unapost ukiwa na chuki za kidini acha roho mbaya ww pimbi kweli
hamtegemei ajira serikalini ndo maana mnalalamikaga sectors zote zimejaa wakristo serikali inawaonea. acheni kulalamika nendeni mkaajiriwe private sectors
wew dudu kwel
 
Back
Top Bottom