Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,904
- 33,473
Endelea kuota!Dikiteta.. Professor.... Dr.... Alhaji Yahya Jammeh alitawala kijeshi na kutesa... Kupiga na kuua wengi kwa miaka 24..... Hivi sasa ni mkimbizi....
Endelea kuota!Dikiteta.. Professor.... Dr.... Alhaji Yahya Jammeh alitawala kijeshi na kutesa... Kupiga na kuua wengi kwa miaka 24..... Hivi sasa ni mkimbizi....
Mkuu umemaliza aiseDikiteta.. Professor.... Dr.... Alhaji Yahya Jammeh alitawala kijeshi na kutesa... Kupiga na kuua wengi kwa miaka 24..... Hivi sasa ni mkimbizi....
Maisha ya wasiwasi na povu hayaepukiki mwaka huu...mtamuita kila mtu muuza ngadaUpumbavu tu wa wauza ngada
Kwa lipi sasa? Kukamata wauza unga? Are you seriousCcm wamejikologa
Na atakamatwa siku yoyote kuanzia sasa , aibu ni kwamba atakabidhiwa kwa wale waliokuwa wanampigia saluti miaka yote hiyo , utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Dikiteta.. Professor.... Dr.... Alhaji Yahya Jammeh alitawala kijeshi na kutesa... Kupiga na kuua wengi kwa miaka 24..... Hivi sasa ni mkimbizi....
Vijana wa chadema aisee [HASHTAG]#Bakunja[/HASHTAG].... UnafurahiaaaMnara wa babeli huo chaliiiii!!!
Yanga c ccm .....Sikuwa na taarifa mkuu , asante sana .
Jana.Yanga ni CCM
Karagosi ya 2015 ndio unaleta leo ,wakati CCM ndie mshindi ,mkiambiwa hamna akili mnaona mnatukanwa ,Chadema ndio kwaheri na si CCM ambacho kilishinda huo uchaguzi,hiyo ndio shida ya copy & paste.Alijisemea mswahili na chinga kuwa chama hakita wafia mkononi
2020Upumbavu tu wa wauza ngada
Wewe una matatizo sana. Kwa nini unawaita wenzio waovu? Wamethibitishwa na chombo kipi kuwa ni waovu? Hapo ulipo haujawahi kutuhumiwa kwa lolote ambalo si la kweli? Kama na wewe ni mpinzani basi upinzani wamekula hasara sana ndugu na sidhani kama wanahitaji mtu kama wewe unaye blackmail watu eti tu kwa kuwa mtu mmoja kawatuhumu.Nikiomacho 2020 wapinzani tusubirie kupata maumivu makali sana. Hawa watanzania nawaheshimu waone hivi tu. Wakifika kwenye kupiga kura huwa wanatafakari mara mbilimbili. Agenda tuliyoanzisha ya kutetea waovu ktk jamii na kuwasajili hakika CCM itabaki madarakani daima.
Tubadilike na 2020 tusitafute mchawi.