Dr A. Paurine
Hawa ndio vijana wako hii ndio lugha iliyojaa ndani ya vinywa vyao; pia acha nikupe ushauri wa bure
1. Kugombea Karagwe 2015 umechelewa; jipange 2020 na kama hivyo rudi Karagwe haraka ili itapofika 2020 ufananefanane nao kiakili na kimawazo hapo ndipo utapoona kama power point itafaa ua la.
2. Chadema ni mtandao haupo kwa ajili ya kutetea watanzania kama unavyojinadi, wewe lengo lako ni kutetea watanzania mpaka hapo tayari utakuwa hukubaliki hivyo utajiweka kwenye hatari ndani ya Chadema kuna "malicious" politicians; Lwakatare ni kiongozi tu ila ana vijana wengi tu ambao wapo tayari kumnyamazisha yoyote asiyekubaliana na mungu mtu; kumbuka akina Zitto wanaonekana masalia kwasababu tu hawakubaliani na nabii.
3. Spika zinazokubalika kutumika Chadema ni zile tu ambazo zimenunuliwa kwa tenda ya mwenyekiti hizo 2 tafuta pa kuzipeleka hazitakubalika.
4. Jifundishe kiswahili
Chama
Gongo la mboto DSM
Cha ajabu unamshauri mwanaume mwenzio akagombee kwao Karagwe kwa nini usigombee wewe? Unajijua ni sawa na dagaa waliooza hauuziki hata kwa bure hauuziki wala hauchaguliki hivyo umebaki kuwatengenezea na kuwashauri wanaume wenzio tu hauoni aibu? Hebu kafanye na wewe ndio maana tunakwambia hauna tofauti na kondom kuwatengenezea wanaume wenzenu nyie kupiga kelele tu nje wachaguliwe,gombea na wewe upate sio kelele tu dogo
Last edited by a moderator: