ZeMarcopolo
Mkuu naona wanachadema wanatafuta mchawi wakati wao ndio wahusika wakubwa wa kuleta matusi JF kama hawakumbuki na wajaribu kufuatilia kwa karibu; kikosi chao kilikuwa chini ya kamanda Precise pangolin;sisi tulijibu mapigo kuweka hali sawa baada ya mods kuruhusu upande mmoja kuvunja amani; huyu Mtu wa Shamba na Dr.A Paurine ni wale wale wanabadili majina kutuzuga wao ndio watusi wakubwa na waasisi wa siasa za maji taka; wanaccm tupo kutetea sera zetu matusi tunajifunza kutoka kwao.
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu naona wanachadema wanatafuta mchawi wakati wao ndio wahusika wakubwa wa kuleta matusi JF kama hawakumbuki na wajaribu kufuatilia kwa karibu; kikosi chao kilikuwa chini ya kamanda Precise pangolin;sisi tulijibu mapigo kuweka hali sawa baada ya mods kuruhusu upande mmoja kuvunja amani; huyu Mtu wa Shamba na Dr.A Paurine ni wale wale wanabadili majina kutuzuga wao ndio watusi wakubwa na waasisi wa siasa za maji taka; wanaccm tupo kutetea sera zetu matusi tunajifunza kutoka kwao.
Chama
Gongo la mboto DSM
Last edited by a moderator: