Hii Nchi ina makima wengi sana,Ujinga Umetamalaki katika Nchi yetu.uwezo wa mwananchi mmoja kutafakari mambo kuchuja na kupata jawabu sahihi kuhusu mambo muhimu ya kitaifa na uraia kwa ujumla ni Mdogo mnooo..
Katika mazingira kama hayo ni ngumu sana Wananchi kuwawajibisha viongozi wao katika mambo yanayowahusu wao..