Siasa za CHADEMA zimefikia ukingoni

Siasa za CHADEMA zimefikia ukingoni

T2015CCM

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
7,930
Reaction score
991
Siasa za vurugu, umwagaji damu na vitisho. Kauli za kichochezi zisizo na ubinadamu wala uvumilivu hivi sasa watanzania wamestuka na hawataki tena kufitinishwa wala kupigana kwa sababu za maslahi ya viongozi wachache wenye uchu wa madaraka.

Nchi haitatawalika, woga ni adui wa haki nk ni kauli tata na za kichochezi za viongozi hawa. Sasa na sisi watanzania tunasema hatutaki tena kusikia kauli hizi, atakayetamka tunakula naye sahani moja. Bandika bandua.
 
Asa za vurugu za machadema zimefikia ukingoni
 
huyu mwehu leo hana hela ya chai ndo maana anapayuka utafikiria kuna kitu chenye ncha kali kimekataa kutoka kweny serikali yake,, accounts lumumba imeshakuona cheki mpesa yako sasa hvi
 
Siasa za vurugu, umwagaji damu na vitisho. Kauli za kichochezi zisizo na ubinadamu wala uvumilivu hivi sasa watanzania wamestuka na hawataki tena kufitinishwa wala kupigana kwa sababu za maslahi ya viongozi wachache wenye uchu wa madaraka. Nchi haitatawalika, woga ni adui wa haki nk ni kauli tata na za kichochezi za viongozi hawa. Sasa na sisi watanzania tunasema hatutaki tena kusikia kauli hizi, atakayetamka tunakula naye sahani moja. Bandika bandua

Tumekupata Mkuu anza kushangilia kuwa zimefikia Ukingoni, Ebu twambie na yale majina ya wauza Unga mtayataja lini? Na majina ya Majangili mliyoiambia Dunia na kwamba kiongozi wao yuko Arusha nayo mtayataja lini achia mbali kuwakamata make tunajua hawawezi kukamatwa kabisa mpka miaka yote kumi imeisha tunapigwa sound tu.
 
Siku CHADEMA wakigundua siasa za chuki hazina soko kwenye kisiwa cha amani kama Tanzania watakuwa tayari wameshachelewa!
 
Asa za vurugu za machadema zimefikia ukingoni

Mtumie JK hizi picha akaweke kwenye albamu lake! Atakuwa hana


fg%202.jpg


3.jpg
 
Ccm ndo kwisha habari kabisa kama mwenyikiti Hana imani na police wala mahakama tutarajie nn kama si machafuko?
 
eti nchi haitatawalika, una akili kweli wewe?? kwa taarifa yako nchi ilitawalika, inatawalika na itatawalika na ccm pekee ndio itaongoza hii nchi
 
Chadema walishagota kwa sasa wanafanya kukunja jamvi tu lakini hawana jipya tena hata wafanye nini.
 
Siku CHADEMA wakigundua siasa za chuki hazina soko kwenye kisiwa cha amani kama Tanzania watakuwa tayari wameshachelewa!

angalia aina ya watu wenyewe wanaojiita REDBRIGADE, GREENGUARD wakiamua kweli watahimili.
580839_130496663748632_2058252730_n.jpg 555711_130499240415041_612964709_n.jpg
 
Maskini mnajitahid kumsafisha JK huyo alishashindwa nchi haiongozwi kwa nahau ni vitendo.
Cdm haihusiki na upuuzi wenu juzi mmejeruhi Waandishi na mkaomba radhi mmesahau ya Mwangosi.
Cku zote vyama tawala hutumia propaganda kubwa ili watu waamini ya kuwa wapinzani ni wabaya.
Mlisema cdm inakufa sasa bado inawatesa kila uchao.
Sasa kati ya majiji 5 mmebakiwa na mawili yanayowaunga mkono Manispaa zote kubwa ziko kwa cdm sasa kufika ukingoni ku wapi?
Ama kweli ccm mmefilisika.
 
Chadema walishagota kwa sasa wanafanya kukunja jamvi tu lakini hawana jipya tena hata wafanye nini.

CHADEMA ikifa leo, SLAA atarudi CCM au atarudi upadre, MBOWE atarudi kuwa meneja pale Bicanus, Sugu atapanda kwenye stage , LEMA atarudia kazi gani? naomba msaada wenu tafadhali.
 
Chadema walishagota kwa sasa wanafanya kukunja jamvi tu lakini hawana jipya tena hata wafanye nini.

chadema makao makuu wameitisha kikao sasa hivi kumjadili yericko nyerere kwa kupost utumbo kuwa lema amekamatwa, tumaini makene amekasirika sana kuingiliwa kazi yake na yericko, makene amesema yericko asipochukuliwa hatua anajiuzulu. nitawapa update maamuzi ya kikao
 
Kwa sasa hakuna kuwachekea wala kulembe ujinga wao wa kufanya fujo na kumwagia watu tindikali na kuuwa.

tutawashughulikia popote pale walipo iwe usiku au mchana, jua au mvua. tuko tayari kulinda amani na usalama na uhuru wa nchi yetu
 
Sura zinaonyesha sio watu wema hawa!

Hakika mkuu, ukiona ndani ya chama kwenye safu ya uongozi wamejaa watu wenye matendo mabaya kama wazinzi, wanywa gongo, wavuta bangi na majambazi basi ujue kuwa chama hicho si riziki tena
 
Back
Top Bottom