Siasa za CHADEMA zimefikia ukingoni

Siasa za CHADEMA zimefikia ukingoni

chadema makao makuu wameitisha kikao sasa hivi kumjadili yericko nyerere kwa kupost utumbo kuwa lema amekamatwa, tumaini makene amekasirika sana kuingiliwa kazi yake na yericko, makene amesema yericko asipochukuliwa hatua anajiuzulu. nitawapa update maamuzi ya kikao

ngoma sasa imenoga, na yatafaraka sana haya
 
Maskini mnajitahid kumsafisha JK huyo alishashindwa nchi haiongozwi kwa nahau ni vitendo.
Cdm haihusiki na upuuzi wenu juzi mmejeruhi Waandishi na mkaomba radhi mmesahau ya Mwangosi.
Cku zote vyama tawala hutumia propaganda kubwa ili watu waamini ya kuwa wapinzani ni wabaya.
Mlisema cdm inakufa sasa bado inawatesa kila uchao.
Sasa kati ya majiji 5 mmebakiwa na mawili yanayowaunga mkono Manispaa zote kubwa ziko kwa cdm sasa kufika ukingoni ku wapi?
Ama kweli ccm mmefilisika.

Mwaka wa 9 huu lakini anaiongoza Tanzania, SLAA na MBOWE wenu kazi kujirusha tu DUBAI na VIMWANA , kujenga hata ofisi ya Kata imekuwa tabu.
 
Ningumu sana Kushindana Nampango wa Mungu Chadema nimpango wa Mungu. Tumeanza na Mungu, tupo na Mungu na tutamaliza na Mungu..... Peoplessss......
 
tutawashughulikia popote pale walipo iwe usiku au mchana, jua au mvua. tuko tayari kulinda amani na usalama na uhuru wa nchi yetu
Hakika amani ya nchi hii ni zaidi ya Lema na CHADEMA
 
Mara ya kwanza chadema nilidhani ni chama cha siasa kumbe genge la walaghai tu.
 
Ama kweli kutoka chama cha wakulima na wafanyakazi mpaka genge la Wauza sem.... na meno ya te...... hicho sio chama cha siasa tena ccm rudini kwenye siasa achaneni na biashara haramu hizo.
Ccm iliondoka na mwalimu nyerere.
 
Hakika mkuu, ukiona ndani ya chama kwenye safu ya uongozi wamejaa watu wenye matendo mabaya kama wazinzi, wanywa gongo, wavuta bangi na majambazi basi ujue kuwa chama hicho si riziki tena

Nasikia kuna weningine wana vyeti vya mirembe eti.
 
Ningumu sana Kushindana Nampango wa Mungu Chadema nimpango wa Mungu. Tumeanza na Mungu, tupo na Mungu na tutamaliza na Mungu..... Peoplessss......

Ndo maana chama kimejaa viongozi wazinzi, majambazi, wahuni, wavuta bangi, wanywa gongo, wapora wake za watu kwa vile ni mpango wa Mungu
 
chadema makao makuu wameitisha kikao sasa hivi kumjadili yericko nyerere kwa kupost utumbo kuwa lema amekamatwa, tumaini makene amekasirika sana kuingiliwa kazi yake na yericko, makene amesema yericko asipochukuliwa hatua anajiuzulu. nitawapa update maamuzi ya kikao

Asante kwa taarifa mkuu, endelea kutupa updates!
 
Ama kweli kutoka chama cha wakulima na wafanyakazi mpaka genge la Wauza sem.... na meno ya te...... hicho sio chama cha siasa tena ccm rudini kwenye siasa achaneni na biashara haramu hizo.
Ccm iliondoka na mwalimu nyerere.

Kutoka cha cha siasa mpka kuwa SACCOS ya wachagga.
CHADEMA iliondoka na MTEI.
 
Chama kinaongozwa na mwanasheria ambaye anazichanganya sheria na kuwachanganya na wenzake.
 
Asante kwa taarifa mkuu, endelea kutupa updates!

Hivi tumaini makene ana kazi gani CHADEMA, nakumbuka wakati CHACHA WANGWE anakutwa na mauti alikuwepo, MWANGOSI vile vile na hata kwenye bomu kule arusha alikuwepo. Yeye ndiye msuka hii mipango nini?
 
CHADEMA ikifa leo, SLAA atarudi CCM au atarudi upadre, MBOWE atarudi kuwa meneja pale Bicanus, Sugu atapanda kwenye stage , LEMA atarudia kazi gani? naomba msaada wenu tafadhali.

slaa atarudi ccm, lema atarudia ile kazi yake ya kuhamisha magari ya watu bila ridhaa yao
 
Mara ya kwanza chadema nilidhani ni chama cha siasa kumbe genge la walaghai tu.

Mkuu hivi ripoti ya mh. Kikwete na Msigwa na Mwakiembe zinaitaja ccm kama genge la nn vile?
Ufisadi, Wauza Unga, Pia kuna mfanyabiashara mkubwa alikuwa Arusha amejishughulisha na Ujangili tunamjua Wabunge wauza sembe majangili wote ni ccm maskini Azimio la Arusha uko wapi?
 
Back
Top Bottom