Siasa za CHADEMA zimefikia ukingoni

Siasa za CHADEMA zimefikia ukingoni

Uharo ni huo hapo LUMUMBA.Nenda kasome Ripoti zilizotolewa na Tume ya Haki za Binadamu, na Tume maalumu iliyoundwa kuchunguza mauaji yanayotokea kwenye fujo katika shughuli za kisiasa!Sio unaandika kishabiki, na kuandika -----, jibu hoja kwa hoja, ndo watu wenye akili wanavyofanya, otherwise nawe utakuwa UHARO!Nakubali kukosolewa, kwa hoja, si kwa matusi na hoja nyepesi za ki-Lumumba!
usitumie kichwa kufugia tu nywele.
 
Sura zinaonyesha sio watu wema hawa!

:shock::shock::shock::shock:.....WATU WENYE SURA ZA WEMA NI HAWA HAPA!....Tembo wetu ARV feki........

5.%2BKinana%2Bakisalimia%2BMtemvu.jpg
 
Siku CHADEMA wakigundua siasa za chuki hazina soko kwenye kisiwa cha amani kama Tanzania watakuwa tayari wameshachelewa!

kweli kabisa ,aman ya kumteka ulimboka na ku,uua mwangosi!!!???
 
Wewe umejuaje feki kama hautumii?

Kesi iko mahakamani au hujui?

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Tanzania Pharmaceutical Industries (TPI) Ltd, Ramadhani Madabida, amepandishwa kizimbani akidaiwa kusambaza dawa bandia za kupunguza makali ya virusi vya ukimwi (ARV). Ramadhan Madabida, Ofisa mtendaji TPI Madabida na wenzake watano, wakiwemo watumishi wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.Mmiliki huyo wa TPI, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam na wenzake wanadaiwa kuisababishia MSD hasara ya sh. milioni 148.Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ya uhujumu uchumi...

 
Back
Top Bottom