Siasa za CHADEMA zimefikia ukingoni

Siasa za CHADEMA zimefikia ukingoni

Siku zote CHADEMA si waanzilishi wa kile kinachoonekana kuwa ni fujo. wachokozi ni CCM, wakisaidiwa na Polisi. Siasa za CHUKI waanzilishi ni CCM haohao. Mara wawaite CHADEMA magaidi, mara wadini, wakanda, wachagga, nk.Hii yote ni propaganda za kipumbavu.Ni mambo kama haya hupelekea machafuko huko kwa wenzetu. Ila kwa sababu CCM, kama mbwa koko aliyefumaniwa ndani akiiba anavyotafuta mbinu yoyote ile ya kudhuru ili tu apone, ndivyo wanachofanya kwa sasa. Mlianza na CUF mkakiita cha Kiislam, CHADEMA mnakiita cha Kikristo, ili tu muendelee kubaki madarakani.Green guards mmewapa mafunzo kama ya mungiki, mnategemea nini?Kwenye kila harakati za upinzani mnawatumia Green guard na polisi,ili iweje, try to think of a neutral ground, and a fair game, muone kama kutakuwa na fujo!Hata sisimizi akikanyagwa hu-react, sembuse binadamu mwenye akili timamu! CCM siasa zenu ni za MAJI TAKA, hata Rostam lishawaeleza!Halafu M/kiti wenu anawaambia msikubali kuonewa, mnaonewa na nani magaidi wakubwa nyie?kazi kushirikiana na Polisi kuanzisha fujo, na hapo hapo mnataka watu wawaogope, Impossible!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kabisa kabisa mkuu tusicheke na wahuni tena lazima wafanyiwe kazi tena kwa kina sana.

Mkuu, hawa viongozi wasio waadilifu walikuwa wanalelewa sana na SAID MWEMA. Ila hapa kwa ERNEST MANGU watakiona cha mtema kuni. Nasikia Lema tayari yupo ndani. Hii iwe fundisho kwa wengine
 
Ama kweli kutoka chama cha wakulima na wafanyakazi mpaka genge la Wauza sem.... na meno ya te...... hicho sio chama cha siasa tena ccm rudini kwenye siasa achaneni na biashara haramu hizo.
Ccm iliondoka na mwalimu nyerere.

Ama kweli chadema ni genge la wavunja sheria zooote duniani, kuanzia zile amri kumi za mungu mpaka hizi za nchi. Hawafai.
 
Mwaka wa 9 huu lakini anaiongoza Tanzania, SLAA na MBOWE wenu kazi kujirusha tu DUBAI na VIMWANA , kujenga hata ofisi ya Kata imekuwa tabu.

Hahahaaa anaiongoza kwelikweli ila hajui inaenda wapi maana angejua basi asingeshindwa kubaini nn watanzania wanataka.
 
Siku CHADEMA wakigundua siasa za chuki hazina soko kwenye kisiwa cha amani kama Tanzania watakuwa tayari wameshachelewa!

Hiki ni kisiwa cha Majangili wa meno ya Tembo, na wauza Sembe. Mipango yote hii inafanikishiwa hapo LUMUMBA na Magogoni. Kisiwa kinaongozwa na wapika majungu, wezi wa rasilimali za taifa, MIZIGO, na wabambikiaji wa kesi, na wauwaji. Chama cha Mizigo, Chama cha Magamba, ambacho kupitia M/kiti wake kimehalalisha Genocide! Kufikia hapo, nani anacheza na Amani aliyotupa MUNGU?MJITAFAKARI, MKAGEUKE NA KUZIANGALIA NJIA ZENU, MKATUBU NA KUMRUDIA MUNGU, YEYE NI MWINGI WA REHEMA ATAWAREHEMU, HATA KAMA DHAMBI ZENU NI NYEKUNDU KAMA DAMU, YEYE ATAZIFANYA KUWA NYEUPE KAMA THELUJI!!!!!!!!!!!!!!
 
Siku zote CHADEMA si waanzilishi wa kile kinachoonekana kuwa ni fujo. wachokozi ni CCM, wakisaidiwa na Polisi. Siasa za CHUKI waanzilishi ni CCM haohao. Mara wawaite CHADEMA magaidi, mara wadini, wakanda, wachagga, nk.Hii yote ni propaganda za kipumbavu.Ni mambo kama haya hupelekea machafuko huko kwa wenzetu. Ila kwa sababu CCM, kama mbwa koko aliyefumaniwa ndani akiiba anavyotafuta mbinu yoyote ile ya kudhuru ili tu apone, ndivyo wanachofanya kwa sasa. Mlianza na CUF mkakiita cha Kiislam, CHADEMA mnakiita cha Kikristo, ili tu muendelee kubaki madarakani.Green guards mmewapa mafunzo kama ya mungiki, mnategemea nini?Kwenye kila harakati za upinzani mnawatumia Green guard na polisi,ili iweje, try to think of a neutral ground, and a fair game, muone kama kutakuwa na fujo!Hata sisimizi akikanyagwa hu-react, sembuse binadamu mwenye akili timamu! CCM siasa zenu ni za MAJI TAKA, hata Rostam lishawaeleza!Halafu M/kiti wenu anawaambia msikubali kuonewa, mnaonewa na nani magaidi wakubwa nyie?kazi kushirikiana na Polisi kuanzisha fujo, na hapo hapo mnataka watu wawaogope, Impossible!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Unaandika uharo mtupu!
 
Hiki ni kisiwa cha Majangili wa meno ya Tembo, na wauza Sembe. Mipango yote hii inafanikishiwa hapo LUMUMBA na Magogoni. Kisiwa kinaongozwa na wapika majungu, wezi wa rasilimali za taifa, MIZIGO, na wabambikiaji wa kesi, na wauwaji. Chama cha Mizigo, Chama cha Magamba, ambacho kupitia M/kiti wake kimehalalisha Genocide! Kufikia hapo, nani anacheza na Amani aliyotupa MUNGU?MJITAFAKARI, MKAGEUKE NA KUZIANGALIA NJIA ZENU, MKATUBU NA KUMRUDIA MUNGU, YEYE NI MWINGI WA REHEMA ATAWAREHEMU, HATA KAMA DHAMBI ZENU NI NYEKUNDU KAMA DAMU, YEYE ATAZIFANYA KUWA NYEUPE KAMA THELUJI!!!!!!!!!!!!!!

Kila siku hamna hoja zaidi ya hayo hayo! Hivi ndio mnataka kutawala nchi bila mipango maalum zaidi ya kusema ,sembe, Meno ya tembo, as if nyie mko nje ya nchi! Unataka kutuaminisha kwamba nyie wapiga dili hamuhusiki na ujangili! Wakati Lema ni Jambazi wa kutupwa, Slaa ni mwizi wa ake za watu,Mbowe Mpenda vimada na mtangaza vurugu nchini, unalisemaje hilo?
 
wakuu kikao kinaendelea, yericko anamwomba msamaha tumaini makene, anasema alimpigia simu lema asubuhi saa moja simu yake ikawa haipatikani, akawapigia simu makamanda wa chadema arusha ndio wakampa hizo taarifa, anabanmwa hapa awataje hao makamanda anazugazuga
 
wakuu kikao kinaendelea, yericko anamwomba msamaha tumaini makene, anasema alimpigia simu lema asubuhi saa moja simu yake ikawa haipatikani, akawapigia simu makamanda wa chadema arusha ndio wakampa hizo taarifa, anabanmwa hapa awataje hao makamanda anazugazuga

Yericko ni muhaini na msaliti au sio makamanda, atimuliwe fastaa!
 
Nyie CCM ndo hamtaki kuzisikia lakini sisi wananchi tunataka sana ndio maana tunajaa kwenye mikutano ya CHADEMA na sio ya CCM. Mpe taarifa na M/kiti wako.
 
Hawa ndiyo wafuasi wa Lema wanategemea siku Chadema wakichukua nchi watakuwa viongozi.


Ni bora hao mara mia kuliko nyie CCM mliowaharibu kwa kuwabesha na kuwauzia sembe zenu. Ipo siku hiyo type unayoidharau leo itakufanya kama Gadafi alivyofanywa kwa hasira mnazowazidishia. Time will tell.
 
Siasa za vurugu, umwagaji damu na vitisho. Kauli za kichochezi zisizo na ubinadamu wala uvumilivu hivi sasa watanzania wamestuka na hawataki tena kufitinishwa wala kupigana kwa sababu za maslahi ya viongozi wachache wenye uchu wa madaraka.

Nchi haitatawalika, woga ni adui wa haki nk ni kauli tata na za kichochezi za viongozi hawa. Sasa na sisi watanzania tunasema hatutaki tena kusikia kauli hizi, atakayetamka tunakula naye sahani moja. Bandika bandua.

Kuna aliekutuma kuwazungumzia watanzania?au ni kiherehere
 
Kila siku hamna hoja zaidi ya hayo hayo! Hivi ndio mnataka kutawala nchi bila mipango maalum zaidi ya kusema ,sembe, Meno ya tembo, as if nyie mko nje ya nchi! Unataka kutuaminisha kwamba nyie wapiga dili hamuhusiki na ujangili! Wakati Lema ni Jambazi wa kutupwa, Slaa ni mwizi wa ake za watu,Mbowe Mpenda vimada na mtangaza vurugu nchini, unalisemaje hilo?

Mipango yenu nyie ni ipi? kulifanya taifa lisiwe na nguvu kazi kabisa hapo baadae kwa kuwamaliza vijana kwa sembe?kufanya Tembo na Faru kuwa Historia hapa nchini?Kuendelea Kuwabambikia kesi watu kama kina Babu Sea? au Kubaka na kuviambukiza ukimwi vitoto vya Shule kama kina Kapuya? Lema kama ni Jambazi akamatwe ashitakiwe kwa mujibu wa sheria, aliyenyang'anywa mke, aende mahakamani a prove kwamba huyo mke ni wake na kanyang'anywa, na aseme kwa nini kanyang'anywa, halafu mke si object useme hana maamuzi kiasi cha kupokwa kwa mmiliki wake, kwenye vimad
a naomba muulize mama Makinda kwa nini alicancel huo mjadala, atakwambia ni sawa na kurusha mawe wakati huo huo wewe unaishi kwenye nyumba ya vioo!!!
 
Siasa za vurugu, umwagaji damu na vitisho. Kauli za kichochezi zisizo na ubinadamu wala uvumilivu hivi sasa watanzania wamestuka na hawataki tena kufitinishwa wala kupigana kwa sababu za maslahi ya viongozi wachache wenye uchu wa madaraka.

Nchi haitatawalika, woga ni adui wa haki nk ni kauli tata na za kichochezi za viongozi hawa. Sasa na sisi watanzania tunasema hatutaki tena kusikia kauli hizi, atakayetamka tunakula naye sahani moja. Bandika bandua.

Kwa kuanzia tu, ni vema ungetujulishakwanza mara yako ya mwisho kuruhusiwa toka MILEMBE ni lini?
 
Siku CHADEMA wakigundua siasa za chuki hazina soko kwenye kisiwa cha amani kama Tanzania watakuwa tayari wameshachelewa!
Si ndio kama hivi
fg%202.jpg
 
Unaandika uharo mtupu!
Uharo ni huo hapo LUMUMBA.Nenda kasome Ripoti zilizotolewa na Tume ya Haki za Binadamu, na Tume maalumu iliyoundwa kuchunguza mauaji yanayotokea kwenye fujo katika shughuli za kisiasa!Sio unaandika kishabiki, na kuandika -----, jibu hoja kwa hoja, ndo watu wenye akili wanavyofanya, otherwise nawe utakuwa UHARO!Nakubali kukosolewa, kwa hoja, si kwa matusi na hoja nyepesi za ki-Lumumba!
 
Back
Top Bottom