Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,450
- 5,279
HUKU vikao vya Chama ngazi ya Mkoa vikiendelea kwa ajili ya kufanya maamuzi ya mwisho kwa Wagombea Udiwani na Ubunge, siasa za Kisiwa cha Mafia zinatajwa kuwa moto.
Pamoja na ushindi wa Omar Kipanga katika kura za maoni bado kunaonekana kunafukuta chini kwa chini huku maamuzi ya mkoa yakiwa yanasubiriwa kwa hamu.
Upinzani mkubwa kwa waliomfuata Kipanga kina Mbaraka Dau na Omar Kimbau bado unaonekana kutawala visiwani humo na vikao vya usiku usiku vikiendelea huku na kule
Pamoja na ushindi wa Omar Kipanga katika kura za maoni bado kunaonekana kunafukuta chini kwa chini huku maamuzi ya mkoa yakiwa yanasubiriwa kwa hamu.
Upinzani mkubwa kwa waliomfuata Kipanga kina Mbaraka Dau na Omar Kimbau bado unaonekana kutawala visiwani humo na vikao vya usiku usiku vikiendelea huku na kule