MWAKIGOBE
Member
- Nov 1, 2010
- 65
- 2
"mimi ni mwanazuoni, sio mwanasiasa, ila ninapenda siasa. Wanasiasa hawapendi siasa ila wanapenda madaraka!" maneno ya mwanazuoni mmoja katika kongamano la kwanza la katiba udsm.
mimi nataka ukweli kutoka kwenu, ni kweli wanasiasa hawapendi siasa na wanapenda madaraka?
mimi nataka ukweli kutoka kwenu, ni kweli wanasiasa hawapendi siasa na wanapenda madaraka?