SIASA HIZI! Tengeneza tatizo kisha litatue.

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Screenshot_20181228-104247.png
 
Jiwe ndiye aliyeweka Saini muswada uwe sheria, halafu leo anajifanya eti anawaonea huruma wafanyakazi!
Hakuna cha huruma, ni baada ya kustuka kuwa Mmegusa pasipotakiwa kugusa kwa hiyo mmejirudi!
 
Jiwe ndiye aliyeweka Saini muswada uwe sheria, halafu leo anajifanya eti anawaonea huruma wafanyakazi!
Hakuna cha huruma, ni baada ya kustuka kuwa Mmegusa pasipotakiwa kugusa kwa hiyo mmejirudi!
Sheria ikishatungwa na kupitishwa na bunge haiwi sheria kamili hadi Rais asini. Sheria iskishasainiwa ni jukumu la wizara kutunga kanuni za utekelezaji, kama umeufatilia mkutano wa leo hata wale viongozi wawakilishi walishindanda kwenye kanuni za kikokotoo na sio sheria yote. Hamna aliyeilalamikia sheria bali kanuni za utekelezaji. Mkulu hahusiki kwenye hilo. Ana mengi ambayo hayafurahishi, ila kwa machache anajitahidi. Mie pia nilikuwa/ ni mhanga wa fao la kujitoa, nilishaliza mchakato wa kupokea33.3% jan19.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria ikishatungwa na kupitishwa na bunge haiwi sheria kamili hadi Rais asini. Sheria iskishasainiwa ni jukumu la wizara kutunga kanuni za utekelezaji, kama umeufatilia mkutano wa leo hata wale viongozi wawakilishi walishindanda kwenye kanuni za kikokotoo na sio sheria yote. Hamna aliyeilalamikia sheria bali kanuni za utekelezaji. Mkulu hahusiki kwenye hilo. Ana mengi ambayo hayafurahishi, ila kwa machache anajitahidi. Mie pia nilikuwa/ ni mhanga wa fao la kujitoa, nilishaliza mchakato wa kupokea33.3% jan19.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasaidizi wake wakifanya mazuri sifa zinaenda kwa magufuli, wasaidizi wakiharibu mnasema magufuli hausiki.
Tafadhali sana mkuu, tupumzishe
 
Sheria ikishatungwa na kupitishwa na bunge haiwi sheria kamili hadi Rais asini. Sheria iskishasainiwa ni jukumu la wizara kutunga kanuni za utekelezaji, kama umeufatilia mkutano wa leo hata wale viongozi wawakilishi walishindanda kwenye kanuni za kikokotoo na sio sheria yote. Hamna aliyeilalamikia sheria bali kanuni za utekelezaji. Mkulu hahusiki kwenye hilo. Ana mengi ambayo hayafurahishi, ila kwa machache anajitahidi. Mie pia nilikuwa/ ni mhanga wa fao la kujitoa, nilishaliza mchakato wa kupokea33.3% jan19.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kanuni zinatungwa kukazia sheria. Kama kanuni mbaya ujue na sheria pia ni mbaya maana imetoa mamlaka kwa waziri kutunga kanuni za hovyo. Sheria nzuri ilipaswa kuweka caps (lower ama upper). Sasa kwa sheria ilivyo mbovu waziri angeweza hata kuamua kuwa wastaafu wapewe 1% (achilia mbali 25% inayolalamikiwa) katika mkupuo wa kwanza! Huwezi kumtoa Rais katika suala hili. Na kwa ukubwa wa suala lenyewe na mivutano iliyokuwepo ni wazi kuwa Rais alijua kila lililoendelea. Ukiniambia kuwa hakujua, basi hilo ni tatizo kubwa zaidi katika nchi maana alipaswa kujua!
 
Kanuni zinatungwa kukazia sheria. Kama kanuni mbaya ujue na sheria pia ni mbaya maana imetoa mamlaka kwa waziri kutunga kanuni za hovyo. Sheria nzuri ilipaswa kuweka caps (lower ama upper). Sasa kwa sheria ilivyo mbovu waziri angeweza hata kuamua kuwa wastaafu wapewe 1% (achilia mbali 25% inayolalamikiwa) katika mkupuo wa kwanza! Huwezi kumtoa Rais katika suala hili. Na kwa ukubwa wa suala lenyewe na mivutano iliyokuwepo ni wazi kuwa Rais alijua kila lililoendelea. Ukiniambia kuwa hakujua, basi hilo ni tatizo kubwa zaidi katika nchi maana alipaswa kujua!

Umemaliza kila kitu sina cha kuongeza
Kanuni zimewezeshwa na sheria, sheria mbovu hutoa loophole ya kanuni mbovu!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
The art of politics.
Create a problem today in absolute privacy and Tommorrow solve it in absolute publicity.
 
Kanuni zinatungwa kukazia sheria. Kama kanuni mbaya ujue na sheria pia ni mbaya maana imetoa mamlaka kwa waziri kutunga kanuni za hovyo. Sheria nzuri ilipaswa kuweka caps (lower ama upper). Sasa kwa sheria ilivyo mbovu waziri angeweza hata kuamua kuwa wastaafu wapewe 1% (achilia mbali 25% inayolalamikiwa) katika mkupuo wa kwanza! Huwezi kumtoa Rais katika suala hili. Na kwa ukubwa wa suala lenyewe na mivutano iliyokuwepo ni wazi kuwa Rais alijua kila lililoendelea. Ukiniambia kuwa hakujua, basi hilo ni tatizo kubwa zaidi katika nchi maana alipaswa kujua!


Mkuu upo sahihi kabisa. Mwenyekiti wa baraza la Mawaziri atakosaje kujua? Haiwezekani jambo kubwa kama hili Rais asijue.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Nimesikia viongozi wa serikali ya chama changu wamesema serikali kupitia kwa Mhe.Rais Samia imepokea kilio cha Watanzania kuhusu TOZO. Na imeahidi kulifanyia kazi.

Kilio imekileta yenyewe,na inapanga kukiondoa yenyewe,na tuliolia tutaipongeza serikali.

Kupongeza Oye!!
 
Nimesikia viongozi wa serikali ya chama changu wamesema serikali kupitia kwa Mhe.Rais Samia imepokea kilio cha Watanzania kuhusu TOZO. Na imeahidi kulifanyia kazi.

Kilio imekileta yenyewe,na inapanga kukiondoa yenyewe,na tuliolia tutaipongeza serikali.

Kupongeza Oye!!
Hizi siasa chenga kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom