Siasa bora na safi, hutumia Kanuni na miongozo

Siasa bora na safi, hutumia Kanuni na miongozo

PIUS PASTORY

Member
Joined
Aug 22, 2025
Posts
36
Reaction score
18
Siasa siyo nguvu ya misuli, bali ni busara ya akili. Haitaki mkurupuko, bali inahitaji utulivu na subira. Haitaki ufuate upepo au uongozwe kiholela, bali inataka uzingatie miongozo na kanuni
.
#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
IMG-20250831-WA0038.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom