Siamini kuwa hii ni bure!!!

Siamini kuwa hii ni bure!!!

Sijali

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
2,700
Reaction score
1,857
Ujerumani imeipatia Tanzania ruzuku kubwa zaidi kutokea (176 m EU) ya kuisaidia kuweka sawa bajeti yake na kwa masuala mengine:
"GERMANY has extended a grant of 176 million Euros (about 380bn/-) to Tanzania. The funds will cover three years and are the largest amount Germany has ever committed to support Tanzania in its development endeavours.
In line with that, the German Government will also extend a grant contribution of 18 million Euros (28bn/-) to support immunization programmes in Tanzania. He mentioned other programmes as the Energy (26 million Euros), Natural Resources (31.5 million Euros), National Audit Office (3.5 million Euros), Local Governance (6.5 million Euros) and Study and Expert Fund (one million Euros)." allAfrica.com: Tanzania: Germany Offers Hefty Budget Grant


Sidhani kwamba hii ni chee bin dezo! Niwajuavyo Wazungu hawana hiyo uncle nisaidie, shangazi nina njaa. Wao wana 'calculate'. Unaona hapo fungu kubwa linakwenda katika kuendelea mali asili?
Huku kusaidiwa hata bajeti yetu kutakwisha lini? Hili ni tusi kubwa sana. Ni kama kusaidiwa kumlisha mkeo na watoto wako!
 
'Huwezi kula bila kuliwa, unataka kula tuuu bila kuliwa?... JK.
 
Tatizo ni msaada kutokea Germany au ni nini?Kama hujiwezi na huwezi kukopa basi mwenye nacho anamsaidia aliepungukiwa.Maendeleo yanachangamoto nyingi,na kila alama ya ni muhimu.
 
Back
Top Bottom