Si ya kukosaa

Duuuuuuuuhhhh sasa hiyo kibao kata ndo nin....? Mweeeeeehhhh
 
Nilidhani ni kweli si ya kukosa, kumbe vise versa
 
Huu mji unapiga hatua kwa kasi ya ajabu. Hapo kwenye sare ndo kaniacha hoi kabisaaaa.
Na siye wanaume tunapaswa kuvaa sare ipi? Au wanaume big NO mlangoni?
 
Ha haa haa
 

Attachments

  • 1429106009542.jpg
    21.7 KB · Views: 127
Kuna siku niliendaga aisee nikasema siludi tena.. !! Maana ile nafika hom nakuta nimechafuka vibaya sanaa......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…