255Capacity
Member
- Jun 6, 2021
- 25
- 19
Habar Wana ndgu, tunaona vijana tofaut tofaut tukiwa wengi kwa namna Moja na nyngine kutafuta connection, na tenda mbali mbali, kwa wenye nazo.
Kwa upande mwngne kuna wenye fani zao na wengine wakiwa hawana fani yoyote zaid ya uwezo wa kufanya kaz ngumu zenye kutumia nguv na japo hvyo hukosa kazi kabisa.
Hayo yote ni kutokana na wimbi kubwa la ukosefu wa ajira nchini ikichangiwa na ukosefu wa uaminif kwa waajili kwa watu wasio wajua..
Pia kwenye utafutaji ndan yake kumeibuka na kundi la watu kutumia fursa hyo kujinufaisha ikiwa kwa kuwatapeli wanao omba kazi hizo kwa kuwaimanisha kuwapa Kazi.
Kwa namna nyingine watu uleta sana utani pale mtu aombapo kazi hasa kwa jukwaa hili, hvyo upelekea kukatisha sana tamaa kwa waombaji.
NB: ukiwa umepewa japo kidog usiwe na choyo kwa wengine maisha ni
Kwa upande mwngne kuna wenye fani zao na wengine wakiwa hawana fani yoyote zaid ya uwezo wa kufanya kaz ngumu zenye kutumia nguv na japo hvyo hukosa kazi kabisa.
Hayo yote ni kutokana na wimbi kubwa la ukosefu wa ajira nchini ikichangiwa na ukosefu wa uaminif kwa waajili kwa watu wasio wajua..
Pia kwenye utafutaji ndan yake kumeibuka na kundi la watu kutumia fursa hyo kujinufaisha ikiwa kwa kuwatapeli wanao omba kazi hizo kwa kuwaimanisha kuwapa Kazi.
Kwa namna nyingine watu uleta sana utani pale mtu aombapo kazi hasa kwa jukwaa hili, hvyo upelekea kukatisha sana tamaa kwa waombaji.
NB: ukiwa umepewa japo kidog usiwe na choyo kwa wengine maisha ni