Si Ushabiki Nauliza Tu

Si Ushabiki Nauliza Tu

Ingekuwa inaruhusiwa kutuma ma-thanks kwenye post yako moja dah, ningezimimina sana maana umenigusa kumtima ..... yaani slogan unaisoma unajiona kama vile iko ndani ya damu yako kabisa...safi sana Mpwa, hebu nikumbushe na za akina Magamba walizowahi kutumia nakumbuka moja 'Zidumu fikra za Mwenyekiti" unayo nyingine hapo?? au Mukama bado hapatikani tumuulize??
MKUU KAULI MBIU ZA OBAMA ZIMEKWENDA SHULE NDO ZIMEANDIKWA KWENYE KANGA
Campaign Slogans of Barack Obama in the USA


1. "Yes We Can"
2. "Change" versus "More of the Same"
3. "Vote for Change"
4. "Change We Can Believe In"
5. "Our Time for Change"
6. "It's about Time. It's about Change"
7. "Stand for Change"
8. "Organize for Change"
9. "We are the change we've been looking for. Change can't happen without you."
10. "I'm asking you to believe. Not just in my ability to bring about real change in Washington . I'm asking you to believe in yours."
11. "A leader who can deliver change"
12. "Change in America doesn't start from the top down. It starts from the bottom up."
13. "Obama Momma"
14. "Women for Obama"
15. "Obama for America "
16. "A New Beginning"
17. "Help me take back America "
18. "My President is Black"
19. "Eight [years] is Enough"
20. " America , we cannot turn back. We cannot walk alone."
21. "We must pledge once more to walk into the future."
 
Mwanajanvi nakupongeza kwanamna ulivyoanza, ingawa umeonyesha uoga wa waziwazi ktk kuuliza. Hizi kauli mbiu mara nyingi hujitokez wakati ule mambo ya uchaguzi ukikaribia. Kwasasa ziko "domant"
 
Kuna kitu kinaniumiza kichwa sana, nimejaribu kunywa maji na kumeza dawa imeshindikana, nauliza tu; kama nikikuudhi nisamehe; Eti ile kauli mbiu ya mwaka huu ya akina Magamba inayoenda kwa "Ari zaid, Nguvu Zaidi, Kasi Zaidi" bado ipo au ilikufa? Mukama simpati kwenye simu na Nape nae ka-block email yangu, ningewauliza, naombeni mnisaidie....Ipo? Na kama Ipo, je inatumika bado? maana sijaona kanga wala tisheti wala caps za kijani na njano zikiwaprinted kwa maandishi hayo kama kipindi kile kabla ya ngozi kugeuka kuwa gamba, nawakilisha


Nasikia imebadilika kidogo. Ni "Adha Zaidi, Nguvu Zaidi na Kasri Zaidi" to be true.
 
Kuna kitu kinaniumiza kichwa sana, nimejaribu kunywa maji na kumeza dawa imeshindikana, nauliza tu; kama nikikuudhi nisamehe; Eti ile kauli mbiu ya mwaka huu ya akina Magamba inayoenda kwa "Ari zaid, Nguvu Zaidi, Kasi Zaidi" bado ipo au ilikufa? Mukama simpati kwenye simu na Nape nae ka-block email yangu, ningewauliza, naombeni mnisaidie....Ipo? Na kama Ipo, je inatumika bado? maana sijaona kanga wala tisheti wala caps za kijani na njano zikiwaprinted kwa maandishi hayo kama kipindi kile kabla ya ngozi kugeuka kuwa gamba, nawakilisha


Hatimaye Wa-magamba wamegundua kwamba maneno hayo kifupi chake ni ANGUKA!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom