Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 943
- 4,457
Siku ya wafanyakazi inapaswa kuwa siku ya mijadala serious ya hatima ya uchumi na mipango ya Taifa. Siku ya wafanyakazi ni siku maalumu ya watunga sera duniani kuzipitia na kuzichambua sera za uchumi.
Siku hii haipaswi kufanyiwa mzaa wala kugeuzwa siku ya kiuni kama ilivyofanyika leo Arusha. Ni siku ambayo mashirika ya ndani na nje yanayohusiana na wafanyakazi ukaa kwa pamoja na kuibua mambo Mtambuka kuhusu hatima ya ajira Duniani.
Ni fedhea kualika mashirika ya kimataifa na wasomi mbalimbali sambamba na mkuu wa nchi then unakuwa na mc anayeadvocate mambo ambayo yanatweza utu wa watoto.
Katika maadhimisho ya siku hii siyo sehemu ya kupitisha agenda za propaganda. Kwamba watumishi wanatumia kodi za wananchi kwenda Arusha kusikiliza stori za wadudu? Kwamba hiki ndicho vyama vya wafanyakazi walichomwandalia Mhe. Rais?
Mimi nampongeza Mhe.Rais kutokushiriki haya matamasha ya leo kwa sababu angeonekana amekosa vision. Lazima ifike mahali baadhi ya mambo yakemewe na kudhibitiwa.
Viongozi mnapopewa dhamana ya kuandaa ujio wa viongozi wa Kitaifa jaribuni kuwa serious kidogo. Huwezi katika hali mbaya ya uchumi ukamwambia Mhe. Rais akae jukwaani ashuhudie wadudu wanapita......its shamefully to the government.
Tunalia uchumi umedorora then maandalizi ya wafanyakazi nchi nzima yanakuwa kuruhusu wadudu?
Au labda Arusha kuna watu wanaloga viongozi washindwe kufahamu ni kitu gani wameandalie Mhe. Rais na kitu gani wawandalie wana fiesta?
Kwamba leo angekuwa JPM tungepata muda wakikimbizana na wadudu?
Vijana wametafuta brand yao waache waendelee wewe ratua kero za barabara na miundombinu ;....wadudu it's not a national strategic thing
Umasikini wa fikra huelekeza watu mmoja mmoja, jamii na hata taifa kufurahia mambo yasiyokuwa na umuhimu, pia kuyapa kipaumbele.Siku ya wafanyakazi inapaswa kuwa siku ya mijadala serious ya hatima ya uchumi na mipango ya Taifa. Siku ya wafanyakazi ni siku maalumu ya watunga sera duniani kuzipitia na kuzichambua sera za uchumi.
Siku hii haipaswi kufanyiwa mzaa wala kugeuzwa siku ya kiuni kama ilivyofanyika leo Arusha. Ni siku ambayo mashirika ya ndani na nje yanayohusiana na wafanyakazi ukaa kwa pamoja na kuibua mambo Mtambuka kuhusu hatima ya ajira Duniani.
Ni fedhea kualika mashirika ya kimataifa na wasomi mbalimbali sambamba na mkuu wa nchi then unakuwa na mc anayeadvocate mambo ambayo yanatweza utu wa watoto.
Katika maadhimisho ya siku hii siyo sehemu ya kupitisha agenda za propaganda. Kwamba watumishi wanatumia kodi za wananchi kwenda Arusha kusikiliza stori za wadudu? Kwamba hiki ndicho vyama vya wafanyakazi walichomwandalia Mhe. Rais?
Mimi nampongeza Mhe.Rais kutokushiriki haya matamasha ya leo kwa sababu angeonekana amekosa vision. Lazima ifike mahali baadhi ya mambo yakemewe na kudhibitiwa.
Viongozi mnapopewa dhamana ya kuandaa ujio wa viongozi wa Kitaifa jaribuni kuwa serious kidogo. Huwezi katika hali mbaya ya uchumi ukamwambia Mhe. Rais akae jukwaani ashuhudie wadudu wanapita......its shamefully to the government.
Tunalia uchumi umedorora then maandalizi ya wafanyakazi nchi nzima yanakuwa kuruhusu wadudu?
Au labda Arusha kuna watu wanaloga viongozi washindwe kufahamu ni kitu gani wameandalie Mhe. Rais na kitu gani wawandalie wana fiesta?
Kwamba leo angekuwa JPM tungepata muda wakikimbizana na wadudu?
Vijana wametafuta brand yao waache waendelee wewe ratua kero za barabara na miundombinu ;....wadudu it's not a national strategic thing
Ni namna nzuri sana ya "kuwazika" Wadudu. Naambiwa wengine ni bodaboda na wengine ni waendesha bajaji. Kama ndivyo ilivyo ,basi sikukuu ya Mei Mosi inawahusu. Ni wafanyakqziSiku ya wafanyakazi inapaswa kuwa siku ya mijadala serious ya hatima ya uchumi na mipango ya Taifa. Siku ya wafanyakazi ni siku maalumu ya watunga sera duniani kuzipitia na kuzichambua sera za uchumi.
Siku hii haipaswi kufanyiwa mzaa wala kugeuzwa siku ya kiuni kama ilivyofanyika leo Arusha. Ni siku ambayo mashirika ya ndani na nje yanayohusiana na wafanyakazi ukaa kwa pamoja na kuibua mambo Mtambuka kuhusu hatima ya ajira Duniani.
Ni fedhea kualika mashirika ya kimataifa na wasomi mbalimbali sambamba na mkuu wa nchi then unakuwa na mc anayeadvocate mambo ambayo yanatweza utu wa watoto.
Katika maadhimisho ya siku hii siyo sehemu ya kupitisha agenda za propaganda. Kwamba watumishi wanatumia kodi za wananchi kwenda Arusha kusikiliza stori za wadudu? Kwamba hiki ndicho vyama vya wafanyakazi walichomwandalia Mhe. Rais?
Mimi nampongeza Mhe.Rais kutokushiriki haya matamasha ya leo kwa sababu angeonekana amekosa vision. Lazima ifike mahali baadhi ya mambo yakemewe na kudhibitiwa.
Viongozi mnapopewa dhamana ya kuandaa ujio wa viongozi wa Kitaifa jaribuni kuwa serious kidogo. Huwezi katika hali mbaya ya uchumi ukamwambia Mhe. Rais akae jukwaani ashuhudie wadudu wanapita......its shamefully to the government.
Tunalia uchumi umedorora then maandalizi ya wafanyakazi nchi nzima yanakuwa kuruhusu wadudu?
Au labda Arusha kuna watu wanaloga viongozi washindwe kufahamu ni kitu gani wameandalie Mhe. Rais na kitu gani wawandalie wana fiesta?
Kwamba leo angekuwa JPM tungepata muda wakikimbizana na wadudu?
Vijana wametafuta brand yao waache waendelee wewe ratua kero za barabara na miundombinu ;....wadudu it's not a national strategic thing
Kwani wale wanajeshi kwenye sherehe za uhuru huwa kuna nini cha maana wanafanya, si wananogesha sherehe? Wadudu nao walikuwa sehemu ya burudani kama wale wanajeshi.hebu acha dharau
Sio kazi ya MakondaWatakuambia una chuki Kali sana makonda. By the hao watu wako siriasi miaka yote hiyo wameboresha nn cha maana kwa wafanyakazi wa serikali?
Kwa uelewa wako upo sahihi lakini kwa tafakuri ya misingi ya kuwepo kwa siku ya wafanyakazi Duniani imepotokaImagine leo kuna mzazi wa mdudu ameamini Mungu anajibu maombi. Mtoto ameachana na wizi na bangi amepita mbele ya makamu wa raisi na kutambuliwa uwepo wake. Everyone deserves a chance and everyone’s dream is very valid. Nadhani una stress. Hebu teremsha jazba kidogo. Maisha hayako serious kihivyo. Kuna wakati hata huyo Mama mwenyewe anahitaji kupumzisha kichwa kidogo jamani, kuongoza watanzania zaidi ya milioni 60 si mchezo tena waliokariri kulalamika kama wewe 🙄🙄 Leo ni siku ya mapumziko, pumzika kesho ni siku mpya. Labda utakuwa na mawazo mapya.
Hongera umeandika bonge la pointi mzungu mswahiliUsitumie noun na pronoun kwa kufuatana.
"wadudu it's not" sio sahihi
"wadudu is(are) not" ndiyo sahihi.
Hata kwenye kiswahili huwezi kusema "John yeye ni mwizi"
Kuhusu mada yako I'm not interested.
WAPUMBAVU ukiwarekebisha walipokosea wanaona ni kama umewatukana.Hongera umeandika bonge la pointi mzungu mswahili
kwahiyo raisi wa nchi hii hajui anachotaka siyo,hivi niyeye anawajibika kwa subordinates wake au wao wanawajibika kwakwe basi vinginevyo raisi anapwaya hafaiSiku ya wafanyakazi inapaswa kuwa siku ya mijadala serious ya hatima ya uchumi na mipango ya Taifa. Siku ya wafanyakazi ni siku maalumu ya watunga sera duniani kuzipitia na kuzichambua sera za uchumi.
Siku hii haipaswi kufanyiwa mzaa wala kugeuzwa siku ya kiuni kama ilivyofanyika leo Arusha. Ni siku ambayo mashirika ya ndani na nje yanayohusiana na wafanyakazi ukaa kwa pamoja na kuibua mambo Mtambuka kuhusu hatima ya ajira Duniani.
Ni fedhea kualika mashirika ya kimataifa na wasomi mbalimbali sambamba na mkuu wa nchi then unakuwa na mc anayeadvocate mambo ambayo yanatweza utu wa watoto.
Katika maadhimisho ya siku hii siyo sehemu ya kupitisha agenda za propaganda. Kwamba watumishi wanatumia kodi za wananchi kwenda Arusha kusikiliza stori za wadudu? Kwamba hiki ndicho vyama vya wafanyakazi walichomwandalia Mhe. Rais?
Mimi nampongeza Mhe.Rais kutokushiriki haya matamasha ya leo kwa sababu angeonekana amekosa vision. Lazima ifike mahali baadhi ya mambo yakemewe na kudhibitiwa.
Viongozi mnapopewa dhamana ya kuandaa ujio wa viongozi wa Kitaifa jaribuni kuwa serious kidogo. Huwezi katika hali mbaya ya uchumi ukamwambia Mhe. Rais akae jukwaani ashuhudie wadudu wanapita......its shamefully to the government.
Tunalia uchumi umedorora then maandalizi ya wafanyakazi nchi nzima yanakuwa kuruhusu wadudu?
Au labda Arusha kuna watu wanaloga viongozi washindwe kufahamu ni kitu gani wameandalie Mhe. Rais na kitu gani wawandalie wana fiesta?
Kwamba leo angekuwa JPM tungepata muda wakikimbizana na wadudu?
Vijana wametafuta brand yao waache waendelee wewe ratua kero za barabara na miundombinu ;....wadudu it's not a national strategic thing
wasomi wametoka mikoani kuja arusha na wameondoka na wadudu badala ya kikokotoo hatariSiku ya wafanyakazi inapaswa kuwa siku ya mijadala serious ya hatima ya uchumi na mipango ya Taifa. Siku ya wafanyakazi ni siku maalumu ya watunga sera duniani kuzipitia na kuzichambua sera za uchumi.
Siku hii haipaswi kufanyiwa mzaa wala kugeuzwa siku ya kiuni kama ilivyofanyika leo Arusha. Ni siku ambayo mashirika ya ndani na nje yanayohusiana na wafanyakazi ukaa kwa pamoja na kuibua mambo Mtambuka kuhusu hatima ya ajira Duniani.
Ni fedhea kualika mashirika ya kimataifa na wasomi mbalimbali sambamba na mkuu wa nchi then unakuwa na mc anayeadvocate mambo ambayo yanatweza utu wa watoto.
Katika maadhimisho ya siku hii siyo sehemu ya kupitisha agenda za propaganda. Kwamba watumishi wanatumia kodi za wananchi kwenda Arusha kusikiliza stori za wadudu? Kwamba hiki ndicho vyama vya wafanyakazi walichomwandalia Mhe. Rais?
Mimi nampongeza Mhe.Rais kutokushiriki haya matamasha ya leo kwa sababu angeonekana amekosa vision. Lazima ifike mahali baadhi ya mambo yakemewe na kudhibitiwa.
Viongozi mnapopewa dhamana ya kuandaa ujio wa viongozi wa Kitaifa jaribuni kuwa serious kidogo. Huwezi katika hali mbaya ya uchumi ukamwambia Mhe. Rais akae jukwaani ashuhudie wadudu wanapita......its shamefully to the government.
Tunalia uchumi umedorora then maandalizi ya wafanyakazi nchi nzima yanakuwa kuruhusu wadudu?
Au labda Arusha kuna watu wanaloga viongozi washindwe kufahamu ni kitu gani wameandalie Mhe. Rais na kitu gani wawandalie wana fiesta?
Kwamba leo angekuwa JPM tungepata muda wakikimbizana na wadudu?
Vijana wametafuta brand yao waache waendelee wewe ratua kero za barabara na miundombinu ;....wadudu it's not a national strategic thing
Sasa wadudu na hao wakata mauno wanaingia vp kwenye siku ya wafanya kaziImagine leo kuna mzazi wa mdudu ameamini Mungu anajibu maombi. Mtoto ameachana na wizi na bangi amepita mbele ya makamu wa raisi na kutambuliwa uwepo wake. Everyone deserves a chance and everyone’s dream is very valid. Nadhani una stress. Hebu teremsha jazba kidogo. Maisha hayako serious kihivyo. Kuna wakati hata huyo Mama mwenyewe anahitaji kupumzisha kichwa kidogo jamani, kuongoza watanzania zaidi ya milioni 60 si mchezo tena waliokariri kulalamika kama wewe 🙄🙄 Leo ni siku ya mapumziko, pumzika kesho ni siku mpya. Labda utakuwa na mawazo mapya.