Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,857
Elimu Division IV point 28-30ishu hapa ni uelewa tu wa mambo.
reserved army haina maana mpaka kwa waliofukuzwa kwa utovu wa nidhamu au kuzeeka na kuumia.
polisi wanajua wanachokifanya kuliko mihemko ya watu wengi inavyowaagiza.