Si Mlisema ICC wanakuja nchini wako wapi?

Si Mlisema ICC wanakuja nchini wako wapi?

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
9,280
Reaction score
13,708
Makamanda mlisema ICC wanakuja, najiuliza wanatumia Usafiri wa Punda? Kila nikiingia mtandaoni sioni kama wamefika au laa!

Makamanda hebu tuliweke sawa hili jambo lipo au ni Chai tuu maana hata Dada mange naona haliongelei sana siku hizi kulikoni?
 
Makamanda mlisema ICC wanakuja, najiuliza wanatumia Usafiri wa Punda? Kila nikiingia mtandaoni sioni kama wamefika au laa!

Makamanda hebu tuliweke sawa hili jambo lipo au ni Chai tuu maana hata Dada mange naona haliongelei sana siku hizi kulikoni?
Watakuja kwa schedule yao!
 
Makamanda mlisema ICC wanakuja, najiuliza wanatumia Usafiri wa Punda? Kila nikiingia mtandaoni sioni kama wamefika au laa!

Makamanda hebu tuliweke sawa hili jambo lipo au ni Chai tuu maana hata Dada mange naona haliongelei sana siku hizi kulikoni?
Ukisha kufa nani ana habari na wewe???? zaidi ya kusingiziwa wewe uliyekufa ndo mwenye makosa maana huongei hupumui hata dereva akiua barabarani mwenye kosa ni maiti.

HAMNAGA KESI YA MFU NA YA ALIYE HAI.

Ukishakufa habari yako kwishne hata wakikuangaikia hufufuki.
 
Mpaka yale yote yanafanyika means watendaji walikuwa wamesha jipanga Kwa Kila kitu haikuwa bahati mbaya hao icc walishapewa Mgao wao wakatulia so hakuna icc wa kuja huku tz tusiongopeane
 
Makamanda mlisema ICC wanakuja, najiuliza wanatumia Usafiri wa Punda? Kila nikiingia mtandaoni sioni kama wamefika au laa!

Makamanda hebu tuliweke sawa hili jambo lipo au ni Chai tuu maana hata Dada mange naona haliongelei sana siku hizi kulikoni?
ni mamluki malofa tu ndio yalikua yakidanganyana na kupeana moyo kuhusu hiyo kitu ambayo hua haidili na porojo, uzushi au uongo wa mitandaoni
 
ni mamluki malofa tu ndio yalikua yakidanganyana na kupeana moyo kuhusu hiyo kitu ambayo hua haidili na porojo, uzushi au uongo wa mitandaoni
Kwani Mange 'Mama wa Taifa' yeye anasemaje?
 
Makamanda mlisema ICC wanakuja, najiuliza wanatumia Usafiri wa Punda? Kila nikiingia mtandaoni sioni kama wamefika au laa!

Makamanda hebu tuliweke sawa hili jambo lipo au ni Chai tuu maana hata Dada mange naona haliongelei sana siku hizi kulikoni?
IMG-20260222-WA0002.jpg

Umemulewa AG Johari ?
 
Makamanda mlisema ICC wanakuja, najiuliza wanatumia Usafiri wa Punda? Kila nikiingia mtandaoni sioni kama wamefika au laa!

Makamanda hebu tuliweke sawa hili jambo lipo au ni Chai tuu maana hata Dada mange naona haliongelei sana siku hizi kulikoni?
Ajibu kinara Erythrocyte
 
hizo kejeli zenu ila siku akija kushikwa hata kama ''mstaafu'' msije tena hapa kulia sijui anaonewa kwa sababu ya muislamu, mambo mengine ni bora kukaa kimya tu badala ya kuleta kejeli kama ni kweli mnampenda kwa dhati kama mnavyojinasibu hapa which i doubt, kwenu mnamuona ni necessary evil tu na huko mbele ya safari likija kumkuta la kumkuta hamtamjua wala kumkumbuka ...
 
Makamanda mlisema ICC wanakuja, najiuliza wanatumia Usafiri wa Punda? Kila nikiingia mtandaoni sioni kama wamefika au laa!

Makamanda hebu tuliweke sawa hili jambo lipo au ni Chai tuu maana hata Dada mange naona haliongelei sana siku hizi kulikoni?

Ulishawahi kuona unyakuo wa Madulo???

Siku Ndege ikiruka tu kuelekea kwa wajomba Uarabuni itabidi ipewe Escort na Ndege vita za Kirusi, maana NATO na US Fighter Jets wataiamrisha ikatue The Hague Uholanzi.

Isipofanya hivyo, wanaitungunyua ndani ya Bahari ya Hindi na inakuwa kama AIR MALAYSIA
 
Makamanda mlisema ICC wanakuja, najiuliza wanatumia Usafiri wa Punda? Kila nikiingia mtandaoni sioni kama wamefika au laa!

Makamanda hebu tuliweke sawa hili jambo lipo au ni Chai tuu maana hata Dada mange naona haliongelei sana siku hizi kulikoni?
ICC waje kufanya nini?
 
Back
Top Bottom