Si Kwa ubaya ila nasema fact

Si Kwa ubaya ila nasema fact

Naunga mkono hoja ila mkuu huyo mrembo atakua mmoja wa wale 'naturalists' wale huwa hawaoshi nywele 1. Dreads 2. Wale hawajaweka dawa ila wanajisukia mitindo mbali mbali asilimia kubwa huwa wanauadui na maji na kaubahili pia kuoshwa saloon

Wengine ni wale wanaokaa na nywele miezi miwili hadi sita bila kuosha. Hawa kiharufu chao kikali sana.
Hakika Mkuu harufu Kali Sana. Wajitahidi usafi la sivyo kuna mahali watazidi kupoteza point e.g kazini au hata kwa wapenzi wao wakaribu.
 
Habari wana JF.

Leo nikiwa kwenye harakati zangu hapa mjini Dar es salaam nimepanda bajaji Kariakoo to Msasani. Ndani ya bajaji nilikaa na Mdada mmoja mzuri Sana lakini shida nywele(Rasta) zinatoa harufu mbaya sana aise nimepata tabu sana wakuu zinanuka ile mbaya.

Nyie wanawake mjitahidi kubadirisha nywele(Rasta) zenu au suka hata kawaida Kama hauna pesa Kwa wakati huo.

Wakuu tujitahidi usafi wanawake Kwa wanaume ni noma public uwe unatoa harufu mbaya.
Ungepima oil halafu upeleke mkono karibu na pua ndio ungezimia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom