Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,363
- 2,261
Based on my true story!
Mwaka 2014:
Yeye: sikutaki halafu jifunze kubalance shobo, simaanishi wewe ni mbaya na huna mvuto, hapana, ila tu sijakupenda.(wakati huo anatoka na lecturer na kwao walikuwa na maisha).
Mimi: ila sikuwa na lengo baya nilitaka kukueleza kuwa nakuhitaji.
Yeye: hapana haitowezekana, sikia nikuambie kaka yangu, mbona wewe ni mzuri na hb tu? Jikubali na nakuhakikishia utapata mtu sahihi atakayekupenda na utakayempenda ila FORGET ABOUT ME.
Mimi: ila nilikupenda wewe, kuhusu mahitaji madogo madogo nitakugharamia, salon, msosi, outings etc, nitajitahidi.
Yeye: anyway nikuambie tu kwa mara ya mwisho SIKUPENDI, 'hivo' yaani!(huku akipiga hatua kuondoka mara baada ya kuitwa na shoga yake ambaye naye alikuwa na dharau sana.
Mimi: okay ahsante(sina tabia ya kubembeleza).
Mwaka 2022:
Yeye: hallooo mambo?
Mimi: nani?
Yeye: jamani umenisahau Mara hii? Grace jamani( kwa mapozi)
Mimi: ooooh Grace nafurahi kusikia sauti yako, kwema?
Yeye: kwema tu naomba kesho tuonane kama hutojali(baada ya stori kadhaa)
Mimi: panga sehemu(niliamua makusudi kujifanya boya)
KESHO YAKE:
BAADA YA KUPATA VINYWAJI NA CHAKULA(NILIMSAIDIA KULIPA)
Mimi: hayaaa naomba twende kwenye mada.
Yeye: ooooh fulani huwezi amini, muda wote huu nilikuwa kimya nilikuwa naumia sana.
Mimi: oooh kwa kipi?
Yeye: wewe, nikagundua kumbe nilikuwa nakupenda(akianza kulia)
Mimi: daaah, nashukuru sana!
Yeye: nimekutafuta mno ni kama bahati Petro alinipa no. yako(si jina halisi)
Mimi: ahsante nimekuelewa ila mimi kwa sasa sidate na mademu wachovu, nikikuangalia hapo unaonekana huna hela japo bado una urembo umebaki nao(alikuwa kachoka japo si sana na alichuja kiasi), labda nikupe option moja
Mimi: ukitaka tudate nenda pambana tafuta hela walau ufikie robo ya mali zangu, ikiwemo uwe na gari moja tu lenye thamani kuanzia 25M, hapo tutakaribiana na nitaweza kukufikiria.
Yeye: huku akilia tu bila kujibu chochote.
Nilishikwa na huruma ila nikamuacha na option hiyo hapo. Naumia mno kwa kumjibu vile, daaah! Hii inanitesa sana.
Mwaka 2014:
Yeye: sikutaki halafu jifunze kubalance shobo, simaanishi wewe ni mbaya na huna mvuto, hapana, ila tu sijakupenda.(wakati huo anatoka na lecturer na kwao walikuwa na maisha).
Mimi: ila sikuwa na lengo baya nilitaka kukueleza kuwa nakuhitaji.
Yeye: hapana haitowezekana, sikia nikuambie kaka yangu, mbona wewe ni mzuri na hb tu? Jikubali na nakuhakikishia utapata mtu sahihi atakayekupenda na utakayempenda ila FORGET ABOUT ME.
Mimi: ila nilikupenda wewe, kuhusu mahitaji madogo madogo nitakugharamia, salon, msosi, outings etc, nitajitahidi.
Yeye: anyway nikuambie tu kwa mara ya mwisho SIKUPENDI, 'hivo' yaani!(huku akipiga hatua kuondoka mara baada ya kuitwa na shoga yake ambaye naye alikuwa na dharau sana.
Mimi: okay ahsante(sina tabia ya kubembeleza).
Mwaka 2022:
Yeye: hallooo mambo?
Mimi: nani?
Yeye: jamani umenisahau Mara hii? Grace jamani( kwa mapozi)
Mimi: ooooh Grace nafurahi kusikia sauti yako, kwema?
Yeye: kwema tu naomba kesho tuonane kama hutojali(baada ya stori kadhaa)
Mimi: panga sehemu(niliamua makusudi kujifanya boya)
KESHO YAKE:
BAADA YA KUPATA VINYWAJI NA CHAKULA(NILIMSAIDIA KULIPA)
Mimi: hayaaa naomba twende kwenye mada.
Yeye: ooooh fulani huwezi amini, muda wote huu nilikuwa kimya nilikuwa naumia sana.
Mimi: oooh kwa kipi?
Yeye: wewe, nikagundua kumbe nilikuwa nakupenda(akianza kulia)
Mimi: daaah, nashukuru sana!
Yeye: nimekutafuta mno ni kama bahati Petro alinipa no. yako(si jina halisi)
Mimi: ahsante nimekuelewa ila mimi kwa sasa sidate na mademu wachovu, nikikuangalia hapo unaonekana huna hela japo bado una urembo umebaki nao(alikuwa kachoka japo si sana na alichuja kiasi), labda nikupe option moja
Mimi: ukitaka tudate nenda pambana tafuta hela walau ufikie robo ya mali zangu, ikiwemo uwe na gari moja tu lenye thamani kuanzia 25M, hapo tutakaribiana na nitaweza kukufikiria.
Yeye: huku akilia tu bila kujibu chochote.
Nilishikwa na huruma ila nikamuacha na option hiyo hapo. Naumia mno kwa kumjibu vile, daaah! Hii inanitesa sana.