Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,363
- 2,261
- Thread starter
- #61
Huoni aibu?Pimbi mwenyewe budaa, inao watu wakubwa ila wewe sio mmoja wapo, wewe uko katika kundi la paukwa pakawa,,, umeelewa!
Huoni aibu?Pimbi mwenyewe budaa, inao watu wakubwa ila wewe sio mmoja wapo, wewe uko katika kundi la paukwa pakawa,,, umeelewa!
Una roho ngumu sana!Safari ya mwanamke ni fupi sana ila ukiwaona wanavyoringa sasa wanajisahau sana.
Ya kwangu hii hii,
Yeye: kuanzia leo usinipigie simu wala usinitumie sms.
Mimi:kwa nn?
Yeye: nimeamua tu ndo ivyo.
Mimi:nikapiga simu hapokei wala sms hajibu nikakubali matokeo kumbe alikuwa anataka kuolewa ila hakuniambia.
Yeye: baada ya miaka miwili ya ndoa na mtoto mmoja juu alikuja kunitafuta na kunielezea changamoto za ndoa na vipigo vya mume wake.
Sasa hivi ananiambia mimi naringa ila akituma sms najibu na simu napokea ila sijawahi kuanza kumtafuta hata siku moja tunaona kwenye status tu.
Daaah kweli wewe extrovertKuna kashata za 200 huku! Msukumie gahawa
Kumbe wewe ni baharia(dume)? Bado hakuna maajabu, chuo ni miaka mitatu, ada kwa mwaka 1.5M, kwa miaka mitatu ni 4.5M, hiyo hela ya kawaida mno, hata mkuu wa shule anaweza kukulipia ada na mahitaji ya chakula na makazi.Yatawatoka ila ulichoandika ni ukweli kabisa na umenikumbusha mkasa mmoja dada flani humu alipataga shida alipewa mimba jamaa akaingia mitini home wakamfukuza akaja kuomba msaada hapa....mibaharia full kumuita ita mara njoo mbeya mara njoo wapi uzuri alikua ananiambia tunashauriana.....aliemsaidia ni id moja mtu ambae humu ni mtu wa kawaida wala hakutaka kumuona yule dada alimwambia tafuta chuo chochote unipe bill yote nitalipa ukasome na mtoto nitamhudumia...abarikiwe sana huyu mtu.
ila hivi vibaharia njaa kama mimi kelele sasa!!!
HapanaBasi bado unampenda
YeahUsikariri, hao ambao JF huwez kuwaona wanatafuta hela kwa jasho wengine wameachiwa za urithi.. shauri yako
Huo ni mtazamo wako, mwanaume mwenye hela ana sh. ngapi ili ujue kuwa ana hela?Wanaume wenye hela mara nyingi wavivu kutype sasa ukiona vicomment uchwara ujue Ni miayo tu,,
Abarikiwe Sana huko aliko huyo mkaka unamsaidia mtu na hujionyeshi jamani, Kuna malaika wamo humu duniani
Nani kamdhalilisha mwanamke? Amejidhalilisha mwenyewe! Acha ugigisi!Ishu ya msingi ni fwedha kaka ziwe za urithi za wizi, ulozi nk ila anajulikana kuwa anayo pesa pesa peeeeisaaa
hawezi kuacha kuongeza zero's akaja jf kujibishana, kutukana, kujikweza au kudhalilisha wanawake hayupo mwanaume mwenye pesa atafanya huo upupu
mimi ni baharia kumbe ulikua haujui.... dume la miraba minne, ni kweli ni ya kawaida kabisa hela ya chai na maandazi tu hiyoKumbe wewe ni baharia(dume)? Bado hakuna maajabu, chuo ni miaka mitatu, ada kwa mwaka 1.5M, kwa miaka mitatu ni 4.5M, hiyo hela ya kawaida mno, hata mkuu wa shule anaweza kukulipia ada na mahitaji ya chakula na makazi.
U gentleman UPI huo? Mimi mbona najiona ni gentleman kwa nilichomfanyia.KK kuwa Gentlemen mwanamke halingiwi ki umen ungemtoa na fifty ya ubber alafu ukamshit
Sijamdharau yeyote, ni nchi huru kila mmoja ana choices zake, hatupangiani.Kuna wengine wana hela na wanadharau na kejeli pia usikite huyu jamaa nae ni mmoja wao..
Chunga, usije kuwa mchawi uzeeni!Huyu ni apeche alolo hata usimuweke kundi la wenye hela
Acha tu kaka!This is what cost men huruma . I don’t want to do it again . Sina huruma kwa mademu never
ChaiiiMzee umefanya maamuzi sahihi na umempa majibu anayostahili sasa unaumia nini?
Au hii ni Chai
nisipokuona JF naumia mnomimi ni baharia kumbe ulikua haujui.... dume la miraba minne, ni kweli ni ya kawaida kabisa hela ya chai na maandazi tu hiyo
uwe unanitumia bando my wangu ili niwepo 24/7 😁 usiumieeenisipokuona JF naumia mno
Sawa, siku moja moja nitakuwa nakutumia jero jero za bandouwe unanitumia bando my wangu ili niwepo 24/7 usiumieee
Huwa napenda sana kufanya hiviKK kuwa Gentlemen mwanamke halingiwi ki umen ungemtoa na fifty ya ubber alafu ukamshit
Vizuri, una haki ya kuishi upendavyo. Kila mtu anashinda mechi zake, mimi kwangu hapana aisee!Huwa napenda sana kufanya hivi
Yupo mmoja mara ya kwanza kaniambia nimkopeshe elfu 10 nikampa mara ya pili kaja kulialia nimkopeshe elf 20 nimempa halafu sina habari nae siku namsalimia anajifanya kuniuliza, "eti unanidai sh ngapi?" Mimi nikamjibu, "nimesahau"
Nikitaka kuondoka nikafanye shughuri zangu ananisemesha nikamuona miyeyusho tu, nikaachana nae