Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,317
- 50,231
Ishu ya msingi ni fwedha kaka ziwe za urithi za wizi, ulozi nk ila anajulikana kuwa anayo pesa pesa peeeeisaaaUsikariri, hao ambao JF huwez kuwaona wanatafuta hela kwa jasho wengine wameachiwa za urithi.. shauri yako
hawezi kuacha kuongeza zero's akaja jf kujibishana, kutukana, kujikweza au kudhalilisha wanawake hayupo mwanaume mwenye pesa atafanya huo upupu