sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 55
Wakuu huyu mwanasiasa shy-rose bhanji naona amekuwa akijitangaza sana kwenye mitandao ya kijamii hivi ana agenda gani? Bado ana ndoto za kutuongoza watanzania? Kwa nini anavaa mavazi yasiyo na staha kama kweli anataka kuwa kiongozi wetu ? Naomba maoni