Ameshindwa kumuongoza Jaffarai ataweza kutuongoza watanzania, Kinocrain sie wajanja.
kuna mmama mmoja kule italia alikuwa pornstar baadae akawa mbunge, ikitokea huku kwetu sijui itakuwaje! kweli hatuongozwi na nguo au utupu wa mtu. utamsemaje yule mbunge wa makadara kenya na mavazi yake sometimes na vipuri maskioni na miwani ya jua bungeni?
well said, i wonder the how can tony use will smith's avatar
Wakuu huyu mwanasiasa shy-rose bhanji naona amekuwa akijitangaza sana kwenye mitandao ya kijamii hivi ana agenda gani? Bado ana ndoto za kutuongoza watanzania? Kwa nini anavaa mavazi yasiyo na staha kama kweli anataka kuwa kiongozi wetu ? Naomba maoni
weka picha tuone