Shy-Rose mawenge, Msekwa yuko right. Chama ni sera na uongozi. Ukiwa hujaridhika na sera au uongozi ni haki yako kuhama.
Sasa Shy-Rose anacholialia nini ? Alitaka Msekwa alazimishe wanaotaka kuondoka CCM wabaki ? Ndiyo idea yake ya demokrasia hiyo ?
Au maneno yamemgusa binafsi kwa kuwa na yeye kashindwa ubunge alitegemea kubembelezwa ?
idiota numbile uno