Shy-Rose Bhanji Amwonya Msekwa

Shy-Rose mawenge, Msekwa yuko right. Chama ni sera na uongozi. Ukiwa hujaridhika na sera au uongozi ni haki yako kuhama.

Sasa Shy-Rose anacholialia nini ? Alitaka Msekwa alazimishe wanaotaka kuondoka CCM wabaki ? Ndiyo idea yake ya demokrasia hiyo ?

Au maneno yamemgusa binafsi kwa kuwa na yeye kashindwa ubunge alitegemea kubembelezwa ?

idiota numbile uno
 
Hivi wewe mtoto shy- rose hayo mapepe yako yatakwisha lini? maana nakumbuka wakati upo lake Se wewe kichwa chako kilikuwa bado kutulia, ulipo kuwa na huyo Mr.DJ, pia uwanja wa siasa sio wako, maana kwa watu wanao kujua wewe sio mtu wa kuweza kujenga hoja hasa, ukizingatia ubunge ni kuwakilisha masalahi ya watu bungeni, kutunga sheria, kupitia miswaada na kuitolea maaamuzi , Lake tulishindwa hata kukupa ukiranja sasa itakuwa hili jukumu kubwa la ubunge? ushauri wangu wewe endeleana masuala mengine maana ukilazimisha ubunge siri zako nyingi zitafichuka, mimi na kutakia mema pia huku kwetu CHADEMA hakuna nafasi yako,maana tunahitaji watu makini na siyo watu wa wenge- wenge.
 
Sioni kuna relation gani kati ya hii kauli ya Msekwa na kutaka kukifanya chama mali yake binafsi. Chama chochote kinachofuata demokrasia kitaruhusu wanachama wake wasioridhika kuondoka.

Kinyume cha hapo utaleta mambo ya street gangs na mafia, ambako unaweza kuambiwa "ukiingia hutoki".

wewe utahaha kubeba wasiobebeka. utaunaje na wakati unajitia hamnazo k.k wadondo we
 
Poa dada yangu Shy, ukuu wa wilaya au vitii maalum vinakusubiri. Yaani umesota mno, na nianona kura hazijatosha kwako kabisa. Subiri huruma ya mwenyekiti wa chama, ni lazima safari hii aone kilio chako maana umeshamhakikishia kuwa umeshashindwa katika ushindani. Sijui huna mvuto au?
 
Me kwa mtazamo wangu huyu dada hajakosea kusema na anahaki sawa kama wengine watoavyo maoni yao, tu wawazi hapa kwa mfano Angekua Warioba ,Jenerali Ulimwengu au Butiku kamkosoa Msekwa najua hapa wengi nao wange changia na wasinge kosoa ila leo Shy-rose kasema na ni mtu mdogo tuu katika siasa basi ooooh huyo dada nae hana mwelekeo jamani siasa nazo zaanza kuaangalia unauwezo gani?
Juzi hapa kwa JF kunamtu alipost makala ya J.Ulimwengu yakimkosoa Msekwa kwa kauli zake na J.Ulimwengu alistahajabika kwa kiongozi mkuu kama msekwa kuongea uupuuzi na pamoja na kuwa mzoefu katika siasa, kwahiyo basi hawa viongozi wetu tusiwafanya wao kama mungu watu nao huchemka tena sana esp kwa vinywa vyao wakijisahau na kuropoka.

Me alochokisema ni sahihi na ninamuunga mkono, kwani viongozi wetu hawa tizami alama za nyakati kabisa, amsthajabiki since 1960's up to date wako tu kwenye Politics hawataki kung'ooka wataka kuniambia bado wao ndio wanauwezo wa kukiongoza chama-CCM na ndio maana kunakuwa na mkanganyiko kila kukicha ndani ya CCM.

Jamani tuwe na siasa za kujenga na sio kubomoa ni kote twahitaji kulijenga taifa
 
Back
Top Bottom