Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 1,211
- 230
Jamaa sielewi miaka mitano bungeni amefanya nini?Kuhusu Kidato cha nne amefika,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.IDD AZZAN lazima aingie mitini hakusoma amegushi cheti cha form 4 kupata ubunge.Ingawa ni kawaida ya wana CCM kughushi kila kitu.