Good for the country in my book. Incumbents will know that anybody can vie for their posts. Angalia CCM wanavyo recycle watu wale wale kwenye nafasi za kuteuana. That era ya Kingunge, Mramba, Karume na familia, Malecela, Makinda, Mwinyi na familia, Msekwa, Makamba na familia, Salim, Mkapa, Kikwete na familia, majina yale yale is coming to an end. Civic awareness is swelling. Watu wamegundua hawa watu hawajui chochote special wanachotuzidi, ni wachemfu tu. You also have to credit the relatively freed media.Mwaka huu kazi ipo haki ya Mungu kila mtu mwanasiasa!!!!