Shwaini.....

Halafu baada ya kummeza huyo kiumbe,pata na hii kitu mbona utaona Bongo zaidi ya peponi.

Bila ya shaka yule jamaa anayeimba kamata chini kamatia chini madhabahuni akiona hii kitu mate yanamshuka tu.
 
Mkuu ungetumia kigezo cha bin dharura upige hii kitu ni tamu mno.

Au kigezo cha kutokuchanganya Dini na mboga yaani unajipigia menu fresh
 
mletauzi umeniharibia siku kabisa hata chai siwez kula tena nasikia kichefuchefu
 
Hapa upate na safari bariiidiiiii yenye mchanganyiko na Guinness iliowekwa matone kadhaa ya teachers,haki ya Nani nyumbani utasalimiwa kwa lugha zote
Hahahahaha uko vizuri mkuu!
 
Walaji wataongezeka sana bz nasikia kutakua na njaa.
Hahaa sipati picha unakutana na ajuza anaagiza zake kanusu.
 
Umentamanisha mkuu, Ngoja nkamtembelee Kajogejo mtaalam wetu wa kuitengeneza hio kitu Buswelu na Mwanza mjin
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…