Waziri mhusika ulikuwa ni mpango wako wa kujaza shule za binafsi kidato Cha 5? Ulichelewesha wanafunzi kuanza shule mwezi mzima kwa sababu ya ujenzi wa mabweni na madarasa.
Tunaomba utujibu ni shule ngapi madarasa na mabweni yamekamilika ndani ya mwezi mmoja na tayari yamepokea wanafunzi.
Tunaomba utujibu ni shule ngapi madarasa na mabweni yamekamilika ndani ya mwezi mmoja na tayari yamepokea wanafunzi.