Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Shule hizi za serikali za Saint Kata zina madarasa mazuri kweli, hazina madawati, watoto wanadanganywa na portable desks. Vijibao vya mkononi vya kukandamizia.
Halafu tunaaambiwa maisha bora kwa kila Mtanzania.
Kweli CCM wanahitaji pongezi kwa kudororesha elimu.
Halafu tunaaambiwa maisha bora kwa kila Mtanzania.
Kweli CCM wanahitaji pongezi kwa kudororesha elimu.