Kwa wenye kumbukumbu nzuri, mtakumbuka kipindi Rais akitanganza azimio la kuondoa ada kwa shule za msingi za umma. Rais alitaja shule sita kuwa shule hizi zitaendelea na utaratibu wa ada na kati ya shule zilizotajwa ni Bunge(Dar), Mlimani (Dar) na Olimpio (Dar).
Kwa utafiti wangu mdogo niligundua kuwa shule hizi wanafunzi wake wanajifunza (medium of instruction) kwa kutumia lugha ya Kingereza, yaani English medium.
Hoja yangu...
Kwanini serikali isianzishe shule za namna hii atleast shule 50 kila mkoa?
Mchakato wa kupata wanafunzi wa shule hizi ukoje, kwani niligundua kuna watoto wanatoka Madale kwenda Upanga, je mchakato ni wa wazi?
Ni watoto wa Watanzania wenye hadhi hudailiwaa pale na kiwango cha ada kikoje?
Naomba kuwasilisha.
Kwa utafiti wangu mdogo niligundua kuwa shule hizi wanafunzi wake wanajifunza (medium of instruction) kwa kutumia lugha ya Kingereza, yaani English medium.
Hoja yangu...
Kwanini serikali isianzishe shule za namna hii atleast shule 50 kila mkoa?
Mchakato wa kupata wanafunzi wa shule hizi ukoje, kwani niligundua kuna watoto wanatoka Madale kwenda Upanga, je mchakato ni wa wazi?
Ni watoto wa Watanzania wenye hadhi hudailiwaa pale na kiwango cha ada kikoje?
Naomba kuwasilisha.