Having obtained funds from Japanese Counterparts, the colleges Board of Directors has advertised a tender at the end of January 2005 for the proposed construction of the first hostel block which comprises of 52 self-contained rooms, common rooms and service areas. The tender is open to all interested Building Contractors from within and outside Tanzania to bid for this work. The construction work will be done in stages depending on the amount of funds flowing from well-wishers and sponsors.
Kuiita hii shule ya Mkono nadhani sio sahihi, kutokana na hiyo data kwenye website yenyewe inaonyesha hajatoa vijisenti vyake kwa ajili ya ujenzi.*
Hon. Nimrod Mkono : the principal mobilizer and fund raiser of the projects
*
The villagers of Butiama
o
donated 100 Acres on which the University is to be located
*
The Government of the Republic of Tanzania
- donated 570 Acres (including the buildings on the plot) on which the University is to be constructed
*
Japanese Grant (Food Aid Counterpart Fund)
o
donated 150 million Tsh. to be used for the purpose of building a dormitory
Degree yake ya sheria, its just a PASS na hakufanya masters lakini he is smart!.
...Huku kwetu FDA wanataka lazima u-screen PSA kwanza halafu ndio DRE, una uhakika kuwa PSA zikiwa kidogo/within normal ndio ugonjwa huo kama ulivyosema? Kwahiyo ulivyo fundishwa wewe unakurupuka tu kumfanyia mtu DRE bila kucheck PSA...
FOR IMMEDIATE RELEASE P94-16
Food and Drug Administration
FDA APPROVES TEST FOR PROSTATE CANCER
The FDA today approved the first blood test to help detect prostate cancer in men 50 and older. The test, a prostate specific-antigen (PSA) blood test, was approved for use in conjunction with a digital rectal exam.
The PSA test by itself cannot be relied on to determine whether a man has prostate cancer. It must be used in conjunction with other diagnostic procedures, including digital rectal exam. Final diagnosis requires a biopsy.
Huyu Mh. Nimrod Mkono ni habari nyingine, hana maneno mengi. Yaani ni maneno mafupi na vitendo virefu. Akiwa M/K bodi ya mikopo, aliwahi kuikopesha bodi hiyo na kutoa mikopo ya asilimia 100 kwa wote.
Kitaaluma ni mwasheria kaajiri mabesti wa sheria mpaka wazungu.
Kiini cha utajiri ni ukaribu na serikali enzi za mwalimu. Ndiye aliyekuwa wakili wa mikataba yote ya serikali.
Alichuma sana alipokuwa wakili wa BOT, alitoza gharama kubwa sana na alizichelewesha baadhi ya kesi zisiishe nyingine mpaka leo ili aendelee kuvuta.
Shuleni UD hakuwa kichwa. Degree yake ya sheria, its just a PASS na hakufanya masters lakini he is smart!.
Huyu Mh. Nimrod Mkono ni habari nyingine, hana maneno mengi. Yaani ni maneno mafupi na vitendo virefu. Akiwa M/K bodi ya mikopo, aliwahi kuikopesha bodi hiyo na kutoa mikopo ya asilimia 100 kwa wote.
Kitaaluma ni mwasheria kaajiri mabesti wa sheria mpaka wazungu.
Kiini cha utajiri ni ukaribu na serikali enzi za mwalimu. Ndiye aliyekuwa wakili wa mikataba yote ya serikali.
Alichuma sana alipokuwa wakili wa BOT, alitoza gharama kubwa sana na alizichelewesha baadhi ya kesi zisiishe nyingine mpaka leo ili aendelee kuvuta.
Shuleni UD hakuwa kichwa. Degree yake ya sheria, its just a PASS na hakufanya masters lakini he is smart!.
Nitakutumia PM maana naona wavimba macho wameshaanza.......
Prof. Google,
Tatizo lako una shindana hata kama watu hawataki kushindana na wewe....unacheza "gotcha" hata pale ambapo huna dataz na ndio maana uliingia matatizoni kwenye stori ya Masau, Thabeet na hii ya kansa hapa unabisha wakati kumbe unakubali hahahahaha...kaaazi kweli!! Asante sana kwa ile copy and paste yako, kwani ilitoa "authority" kwa kile nilichobandika.....LOL.
Kule kwetu tungesema, "umegeuka sangara....." hahahaha neema tu, hakuna haja ya kununua "ka-bombonya" ka mafuta ya pamba kumkaanga! LOL