Shule ya Ndoa; Unaanza Kupewa Cheti Baadaye Ndio Unaiona Mitihani

Shule ya Ndoa; Unaanza Kupewa Cheti Baadaye Ndio Unaiona Mitihani

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
Hili mimi nimelithibitisha kabisa kwenye ndoa, kwamba ni tasnia pekee ambayo unapewa cheti bila kusoma halafu mitihani ndio inafuata
 
Ila umesahau kuna tuition (uchumba).
 
Ingekuaje leo mungu avunje ndoa zote ili tuchaguane upya je ni ndoa ngapi zingejirudia .
 
Hili mimi nimelithibitisha kabisa kwenye ndoa, kwamba ni tasnia pekee ambayo unapewa cheti bila kusoma halafu mitihani ndio inafuata

Ukweli ni kwamba ndoa pengine ndio mtihani mrahisi kuliko yote na ndio maana unapewa cheti kabla ya kufanya exams ikiaminika kwamba no body will never fail.........lakini kutokana na ugumu wa mioyo ya wanandoa like no one is ready to loose his/her freedom and get occupied to marriage principles ndio maana ndoa huwa ndoano.....but ndoa ndio mtihani rahisi kuliko yote under the sun!
 
Ukweli ni kwamba ndoa pengine ndio mtihani mrahisi kuliko yote na ndio maana unapewa cheti kabla ya kufanya exams ikiaminika kwamba no body will never fail.........lakini kutokana na ugumu wa mioyo ya wanandoa like no one is ready to loose his/her freedom and get occupied to marriage principles ndio maana ndoa huwa ndoano.....but ndoa ndio mtihani rahisi kuliko yote under the sun!

utakuwa clergy wewe
 
Back
Top Bottom