Sungura dume
JF-Expert Member
- Mar 28, 2016
- 562
- 502
Kama Serikali inafuatilia elimu kwa kina na pasipo ubaguzi hii shule ya Must Lead iliyopo Msata Masuguru ina nyanyasa sana sisi wazazi
Kuna mtu anaitwa ticha ndege na somebody madam Anna wamefanya hii shule kama si international yani wanabambika madeni mpaka mzazi unajuta.
Jamani tunajua msata hakuna shule za international isipokuwa huyo lakini isiwe chanzo cha unyanyasaji huu.
Mwenye shule kwa jina maarufu Peter Nkufya angalia hao watu wataaribu brand Image ya shule yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu anaitwa ticha ndege na somebody madam Anna wamefanya hii shule kama si international yani wanabambika madeni mpaka mzazi unajuta.
Jamani tunajua msata hakuna shule za international isipokuwa huyo lakini isiwe chanzo cha unyanyasaji huu.
Mwenye shule kwa jina maarufu Peter Nkufya angalia hao watu wataaribu brand Image ya shule yako
Sent using Jamii Forums mobile app