Shule ya msingi ulienda kwa style ipi?

Shule ya msingi ulienda kwa style ipi?

Nilienda kwa Ndege dah umenikumbusha mbali Sana +254
 
Asubuhi had kumi na nusu shule ya msingi mlikua mnasoma nini mkuu,sisi darasa la kwanza na la pili tulikua tunatoka saa 5 tu, la tatu na la nne tunaingia saa 4 tunatoka saa9, darasa la tano hadi la saba tunaingia saa 1 na nusu tunatoka saa 8 mchana.

Huku mjini ndio walikuwa wanatoka saa nane na nusu....ila nilipohamishiwa huko Geita mzee..shule ni hadi saa kumi na nusu jioni...tena madarasa yalikuwa ni ya kugeukiana...yani sisi darasa la tatu na la tano tulikuwa class moja...mnapeana migongo tu..na la nne wanakaa na la sita..alaf la saba ndo wanakaa pekeyao...

ratiba ilikuwa saa mbili kamili asbui mnaingia class hadi saa nne break fupi..mnarudi class...kutoka tena ni saa sita kamili mchana mnarudi nyumbani kula hadi saa nane kamili.mnaingia class tena hadi saa tisa na nusu..hapo sasa mnaanza stadi za maisha...kama ni kulima shamba la shule, kwenda kwa mwalimu mkuu kujenga nyumba yake ya udongo, au kutafuta kuni kwa mwalimu wa zamu..u name it...hadi kumi unusu tunarejesha majeshi nyumbani
 
Ujatendea haki watemba kwa miguu kijiji hadi kijiji.


swissme
 
Huku mjini ndio walikuwa wanatoka saa nane na nusu....ila nilipohamishiwa huko Geita mzee..shule ni hadi saa kumi na nusu jioni...tena madarasa yalikuwa ni ya kugeukiana...yani sisi darasa la tatu na la tano tulikuwa class moja...mnapeana migongo tu..na la nne wanakaa na la sita..alaf la saba ndo wanakaa pekeyao...

ratiba ilikuwa saa mbili kamili asbui mnaingia class hadi saa nne break fupi..mnarudi class...kutoka tena ni saa sita kamili mchana mnarudi nyumbani kula hadi saa nane kamili.mnaingia class tena hadi saa tisa na nusu..hapo sasa mnaanza stadi za maisha...kama ni kulima shamba la shule, kwenda kwa mwalimu mkuu kujenga nyumba yake ya udongo, au kutafuta kuni kwa mwalimu wa zamu..u name it...hadi kumi unusu tunarejesha majeshi nyumbani
Kusema kweli utaratibu huu ulibadilisha mimi nikiwa shule ya msingi. Nilidhani wamebadilisha nchi nzima wa kuingis asubuhi na kutoka mchana bila kurudi shule. kwa maajabu nadhani mpaka leo wa vijijini wanarudia kwa kweli sijaelewa vizuri logic ukizingatia vijijini shule ziko mbali zaidi ya mjini, wanawasumbua watoto kurudi majumbani ambapo wakati mwingine hamna chakula hivyo watoto wanaenda na kurudi bila hata kula. Watunga sera wa elimu hebu mtufafanulie, je bado vijijini watoto wanarudia? je kuna tija yoyote? kama la iwe kama ya mjini ili watoto wapate kupimzika na muda mwingine wawasaidie wazazi wao!
 
Mkuu Ndo mlikuwa mnalolitumia nn ? 😀😀😀

Alhamdulillahi Mola amenibariki siha njema wala sikuwa nahitaji special education....FYI nao wamezaliwa wale, na hakuna aliyetuma maombi Mungu ampe mtoto Mwenye special needs, tafakari Ubavu wangu
 
Last edited by a moderator:
Nimekanyaga kwa miguu kuanzia chekechea hadi kidato cha sita na kulikuwa na hatihati ya kusoma chuo day...dah! Nashukuru tu kozi niliyoitaka haikuwa ikipatikana hapo.

#chekechekea ya chuo cha ushirika
#Kibo shule ya msingi
#Mawenzi sekondari
#Majengo sekondari.
 
Nursery school na Standard 1- No. 6. Gari la baba na mama. Mama ndio alikuwa anatupeleka na siblings.
Std 2- No. 4 kwa miguu mwanzoni as saa ya kwenda shule ilichange from morning to afternoon, baadae kaka yangu akani-offer kunipeleka na kunichukua kwa baiskeli (nivyoanza kwenda kwa miguu nilikuwa naona mbaaaaali, majuzi nikaenda nikachukua Taxi nikamwambia Taxi driver anipeleke tulipokuwa tunaishi halafu shule ya msingi niliyosoma Dodoma- nikambishia nikasema sio hapa penyewe palikuwa mbaaaali japo niliona majengo ni copy right. akasema hii ndio shule yenye jina hili hapa Dodoma- ha ha ha , kumbe ule umbali niliouona ilikuwa utoto tu wala sio mbali kihiiiivyo).
Std 4 - 7 no. 4 kwa mguu, shule ilikuwa kariiibu. Form 1 -number 6 mpaka nilivyozoea form 2 to 4- number 3 kwa UDA. Form 5 &6 nilikuwa Hostel ilikuwa raha saaana, tunatoka hosteli kwenda darasani.

Jamani nimekumbuka mbali, enzi zile UDA zilikuwa kwa Time. Kituo chetu likuwa 12. kamili( Yaani form one ndio ilikuwa basi letu/ lao), 12.30 mhh maform 2 na kuendelea. Baadae UDA ikaelemewa marehemu Sokoine akamshauri Mwalimu Nyerere ili kuboresha usafiri lazima kuingiza Private sector. ( sio viongozi wengine kila anachosema Mkuu wake , ndio Mzee)On another note, Hebu Mwaibula Mwingine aibuke ili kuboresha zaidi usafiri wa DSM ukisupotiwa na mabasi ya mwendo kasi!
 
Kumbe chekechea umesomea Chuo Cha Ushirika...sasa nimeelewa why you're very knowledgeable about mambo ya mapolisi.

By the way nimepitia Old Moshi Sec pale...those good years!

Ahahah...tulikuwa tunaenda sana kucheza kule ccp!

Aisee wanafunzi wa old moshi walikuwa wahuni na watundu sana...sijui wewe ulikuwa kundi lipi hapo!
 
Dah umenikumbusha. baiskelil, boarding kwa misista kufanyiwa kila kitu,boarding kujitegemea kwa kila kitu kasoro chakula,na boarding kulala na kujitegemea kila kitu.
 
kwa miguu yaani mimi nilikuwa nikisikia kengele ndio natoka ndani
 
Back
Top Bottom