COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,617
- 3,680
Nimepigwa butwaa kukuta shule inaitwa hilo jina la SHOGA hasa ukizingatia mkanganyiko wa kimaadili unao ikumba nchi yetu kwasasa kutoka na kushamiri kwa vitendo vya Ushoga. Nashauri wizara ya Elimu ione umuhimu wa kubadilisha jina la shule hiyo.