Shule ya msingi Shoga Chunya Tanzania

Shule ya msingi Shoga Chunya Tanzania

COARTEM

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
3,617
Reaction score
3,680
Nimepigwa butwaa kukuta shule inaitwa hilo jina la SHOGA hasa ukizingatia mkanganyiko wa kimaadili unao ikumba nchi yetu kwasasa kutoka na kushamiri kwa vitendo vya Ushoga. Nashauri wizara ya Elimu ione umuhimu wa kubadilisha jina la shule hiyo.

attachment.php

 

Attachments

  • 10382166_580465452072129_3898119376833672779_n.jpg
    10382166_580465452072129_3898119376833672779_n.jpg
    12.7 KB · Views: 3,955
Hahahahaha, wanyakyusa muwahi kuleta tafsiri mapema, sisi wabantu tumeshatafsiri kivyetu
 
Nimepigwa butwaa kukuta shule inaitwa hilo jina la SHOGA hasa ukizingatia mkanganyiko wa kimaadili unao ikumba nchi yetu kwasasa kutoka na kushamiri kwa vitendo vya Ushoga. Nashauri wizara ya Elimu ione umuhimu wa kubadilisha jina la shule hiyo.

View attachment 169131

Imeanzishwa mwaka 1989 ikiwa na waalimu waanzilishi Kama sikulima, Wilson, tayari(mkuu) , Pamela, kasekwa, twaha, baadae kidulile, gambi, salabala, na wengineo......... ilianza kipindi hilo jina hata halifikiliwi in a -ve way

Nilisoma hapo.........
 
Jina la kitu au mtu sio matendo. Mbona kuna majina ya akina ---- huko Ghana na hamsemi yabadilishwe? Huko mkoani Kilimanjaro kuna sehemu inaitwa Muro....mboo
 
Imeanzishwa mwaka 1989 ikiwa na waalimu waanzilishi Kama sikulima, Wilson, tayari(mkuu) , Pamela, kasekwa, twaha, baadae kidulile, gambi, salabala, na wengineo......... ilianza kipindi hilo jina hata halifikiliwi in a -ve way

Nilisoma hapo.........

Hee asante.
 
Kuna school bus nimewahi kuliona limeandikwa "US.ENGE HIGH SCHOOL'

Tyta hujawahi kuona hii picha kweli?
 
Last edited by a moderator:
Nimepigwa butwaa kukuta shule inaitwa hilo jina la SHOGA hasa ukizingatia mkanganyiko wa kimaadili unao ikumba nchi yetu kwasasa kutoka na kushamiri kwa vitendo vya Ushoga. Nashauri wizara ya Elimu ione umuhimu wa kubadilisha jina la shule hiyo.

View attachment 169131

mkuu mbona umekimbilia maana moja tu ya neno shoga? mbona marafiki wa kike huitana mashoga hushtuki?
 
Hahah "nimesoma shule ya msingi shoga" teh! Teh!
 

Attachments

  • 1404634056076.jpg
    1404634056076.jpg
    68.1 KB · Views: 702
  • 1404634079118.jpg
    1404634079118.jpg
    41.5 KB · Views: 575
  • 1404634099447.jpg
    1404634099447.jpg
    23.6 KB · Views: 1,989
  • 1404634115651.jpg
    1404634115651.jpg
    6.9 KB · Views: 1,478
Last edited by a moderator:
Hiyo Kumamoto University wametoka madaktari wengi mabingwa wa magonjwa ya wanawake...
 
Hahahahaha, wanyakyusa muwahi kuleta tafsiri mapema, sisi wabantu tumeshatafsiri kivyetu

Ndugu, Wanyakyusa hawatokei Chunya. Chunya wanaishi Wabungu na Wasafwa. Hilo ni jina la ukoo huko Chunya kama ilivyo ukoo wa Senge huko Singida
 
kagera kuna mto ngono.mkuu wa mkoa masawe aliwambia wananchi wa uko hapendezwi na ilo jina na wao wakamjibu hawapendezwi na jina la masawe maana ni tusi pia
 
Nahisi kwa kikwao huku inamaanisha vingine ila kabla ya kuipa shule jina unatakiwa ugoogle kupata maana nyingine ya hilo jina kwa kiswahili lugha ambayo ni ya watanzania wengi. Kuna maneno mengine ya kikabila ni matusi makubwa kwa kiswahili mimi niliwahi kusoma na msichana wa kisukuma anaitwa kuhuma ilibidi tumpe nick name
 
Hiyo wilaya ya ajabu sana jina lake tu "CHUNYA" kwetu ni matusi, huwezi kutamka mbele ya wakwe lazima upatwe na ukakasi wa mdomo.
N'way ndo majina yetu wabantu. Ukienda kule kigoma kunashule inaitwa MKUNDUZI PRIMARY SCHOOL.
 
Back
Top Bottom