Shule ya msingi Kisambi ipo bagamoyo inawalimu 2 tu shule haina nyumba ya mwl, mwl mkuu anatembea males 16 kufika shule, darasa moja wanasoma wanafunzi wa madarasa matatu kwa pamoja yani la 1, la 2,la 3 shule ya miti ipo wazi mifugo inaingia darasani na kunya hovyo, kijiji kimezungukwa na wakulima na wafugaji inatokea siku walimu wote wawili hawapo hawasomi hivi wizara ya elimi ipo?
Waziri husika yupo? Bagamoyo si ndipo alipotoka mkuu wa nchi? Wanasubili M4C iwakomboe? Mwanafunzi photocopy haijui, sayansi na tekinolojia itamkomboa vipi tuliambiwa Ardhi,Siasa safi na uongozi bora nchi itaendelea sasa miaka 50 ya uhuru tupo wapi? Nawasilisha
SOURCE: Taarifa ya habari ITV
Waziri husika yupo? Bagamoyo si ndipo alipotoka mkuu wa nchi? Wanasubili M4C iwakomboe? Mwanafunzi photocopy haijui, sayansi na tekinolojia itamkomboa vipi tuliambiwa Ardhi,Siasa safi na uongozi bora nchi itaendelea sasa miaka 50 ya uhuru tupo wapi? Nawasilisha
SOURCE: Taarifa ya habari ITV