Shule ya msingi Kisambi iliyopo Bagamoyo inatia aibu

Mgelukila

JF-Expert Member
May 27, 2012
224
43
Shule ya msingi Kisambi ipo bagamoyo inawalimu 2 tu shule haina nyumba ya mwl, mwl mkuu anatembea males 16 kufika shule, darasa moja wanasoma wanafunzi wa madarasa matatu kwa pamoja yani la 1, la 2,la 3 shule ya miti ipo wazi mifugo inaingia darasani na kunya hovyo, kijiji kimezungukwa na wakulima na wafugaji inatokea siku walimu wote wawili hawapo hawasomi hivi wizara ya elimi ipo?

Waziri husika yupo? Bagamoyo si ndipo alipotoka mkuu wa nchi? Wanasubili M4C iwakomboe? Mwanafunzi photocopy haijui, sayansi na tekinolojia itamkomboa vipi tuliambiwa Ardhi,Siasa safi na uongozi bora nchi itaendelea sasa miaka 50 ya uhuru tupo wapi? Nawasilisha

SOURCE: Taarifa ya habari ITV
 
Hayo ndio maisha bora kwa kila mtanzania! Ndio kukua kwa uchumi! Ndio fahari ya ccm! Ndio everything! Period...!
 
Shule ya msingi Kisambi ipo bagamoyo inawalimu 2 tu shule haina nyumba ya mwl, mwl mkuu anatembea males 16 kufika shule, darasa moja wanasoma wanafunzi wa madarasa matatu kwa pamoja yani la 1, la 2,la 3 shule ya miti ipo wazi mifugo inaingia darasani na kunya hovyo, kijiji kimezungukwa na wakulima na wafugaji inatokea siku walimu wote wawili hawapo hawasomi hivi wizara ya elimi ipo?

Waziri husika yupo? Bagamoyo si ndipo alipotoka mkuu wa nchi? Wanasubili M4C iwakomboe? Mwanafunzi photocopy haijui, sayansi na tekinolojia itamkomboa vipi tuliambiwa Ardhi,Siasa safi na uongozi bora nchi itaendelea sasa miaka 50 ya uhuru tupo wapi? Nawasilisha

SOURCE: Taarifa ya habari ITV


Habari hizi zinahusu SIASA? UNAHARIBU JAMII FORUM MPANGILIO WAKE... Nadhani unajua Jinsi ya kuposti Habari

Hii ya Mwanafunzi kutokujua PHOTOCOPY kweli ni SIASA?
 
Mfanyabiashara maarufu amejenga darasa moja kwa tenda ya halmashauri sh 56milion huko bagamoyo.ufisadi uliokubuhu ccm na serikali yake
 
Jamani inasikitisha sana wakati mikutano ya siasa masaa 2 wanatumia 200m kuandaa ........na ndio wilaya ya Mh Rais JK!hatari sana kuna haja ya kuitisha harambee kuwasaidia hao wahanga kwa kweli!madarasa yote na nyumba za walimu hata 5 hivi walimu watakuja tu na kukaa pale!!!!
 
Nimeona hiyo habari,inatisha,ila hao ndio wapiga kura wa magamba waache wataisoma namba.rais na waziri wa elimu ndio kwao
 
Kama hali ya shule ile ipo vile na ni hapo bagamoyo maili 30 toka dar, jiulize wale walioko kibondo, muleba na songea shule zao zikoje? Then Makufuri na yule Wa-hasira wanatamba kuwa wamefanya makubwa. Yani karne ya 21 mtu anashea jengo na mbuzi? Lile darasa kiukweli hata mbuzi wangu hawakai kwenye jengo la miti kama lile, jamani mie ningekuwa chama tawala nisingejaribu kufanya mkutano wa hadhara na kubwatuka kama mzee bingwa wa-hasira! That is a shame, leo unaongea kujenga fly overs wakati wanafunzi wanakaa jengo la miti? Mbavu za mbwa? Hebu kahawa-mbwa jaribu kufanya mageuzi hiyo wizara yako, tena kule ni kwako bagamoyo! Naona aibu kujiita Mtanzania. Sijui lini nitatembea kifua mbele kujisifia utanzania wangu.
 
Shule ya msingi Kisambi ipo bagamoyo inawalimu 2 tu shule haina nyumba ya mwl, mwl mkuu anatembea males 16 kufika shule, darasa moja wanasoma wanafunzi wa madarasa matatu kwa pamoja yani la 1, la 2,la 3 shule ya miti ipo wazi mifugo inaingia darasani na kunya hovyo, kijiji kimezungukwa na wakulima na wafugaji inatokea siku walimu wote wawili hawapo hawasomi hivi wizara ya elimi ipo?

Waziri husika yupo? Bagamoyo si ndipo alipotoka mkuu wa nchi? Wanasubili M4C iwakomboe? Mwanafunzi photocopy haijui, sayansi na tekinolojia itamkomboa vipi tuliambiwa Ardhi,Siasa safi na uongozi bora nchi itaendelea sasa miaka 50 ya uhuru tupo wapi? Nawasilisha

SOURCE: Taarifa ya habari ITV
kwenye "red" Duh, hivi hakuna neno la kiswahili linalomanisha "miles"
 
Hiyo ndiyo Tanzania imara ya chama cha mapinduzi.Kelele nyingi lakini kwenye utekelezaji sifuri.Hawa jamaa wananiudhi na kunikera kila niwaonapo.MWALIMU NYERERE alitaka angalau usawa katika huduma za jamii,na alijaribu japokuwa hakuuza rasilimali nyingi kama hawa waliojivika MAGAMBA.Na huyo kijana mwenye kuropoka hata mbele ya wazee bila kupima ukweli awajibike.NAPE UNAPIGA KELELE SANA,SASA UZA GARI LAKO KISHA UKAJENGE SHULE.We si ndo unajifanya kidume wa kukoroma eti CCM ITATAWALA MILELE.Je hivyo ndo vigezo vya kutawala? Mnaboa sana wanaccm.Taarifa hii imenisikitisha sana.Kesho tukiongea ukweli:Ooh CHADEMA kinachochea chuki kwa wananchi dhidi ya serikali.SASA dawa yenu imechemka M4C itaingia kwa J.K hadi kwa MWANDOSYA nitaifikisha.
 
Bwana mkubwa, katika yote hapo umekiona hicho tu? anyway 'miles' kwa kiswahili ni 'maili'. Happy now? Karibu tena.
....namshauri na muanzisha uzi arekebishe hapo, ila sema hata zito naye aliwahi chapia badala ya "kambi" akaandika "kamba"
 
Bagamoyo iko Mkoa wa Pwani, Pwani ni moja ya mikoa iliyoko kwenye mwambao wa bahari ya Hindi. Mikoa hii wakazi wake wengi ni wa imani ya UAMSHO. Kama Karne hii ya 21 shule iko hivyo tena Bagamoyo anakotoka Bwana Mkubwa, Je miaka 30-50 iliyopita hali ilikuwaje.

Hapo bado UAMSHO wanatafuta ushahidi ya kwanini hawajashika nyazifa nyingi serikalini? Bado watadai kuwa wanabaguliwa kwa imani yao? Bado wanataka kila kitu kiwe 50/50!

UAMSHO ni sawa na BOKO HARAMU! Wazalendo TUJIPANGE SAWA SAWA!
 
Shule ya msingi Kisambi ipo bagamoyo inawalimu 2 tu shule haina nyumba ya mwl, mwl mkuu anatembea males 16 kufika shule, darasa moja wanasoma wanafunzi wa madarasa matatu kwa pamoja yani la 1, la 2,la 3 shule ya miti ipo wazi mifugo inaingia darasani na kunya hovyo, kijiji kimezungukwa na wakulima na wafugaji inatokea siku walimu wote wawili hawapo hawasomi hivi wizara ya elimi ipo?

Waziri husika yupo? Bagamoyo si ndipo alipotoka mkuu wa nchi? Wanasubili M4C iwakomboe? Mwanafunzi photocopy haijui, sayansi na tekinolojia itamkomboa vipi tuliambiwa Ardhi,Siasa safi na uongozi bora nchi itaendelea sasa miaka 50 ya uhuru tupo wapi? Nawasilisha

SOURCE: Taarifa ya habari ITV

Ktk mkutano wao wa juzi(jaza uwanja)hiyo gharama walitumia si bora wangeitumia kujenga hiyo shule?Sababu hakuna cha msingi kilichofanyika ktk ule mkutano zaidi ya posho na blah blah za kutosha pmj na kuwaita uamsho ni majambazi pia hawana tofauti na boko haram.
 
Habari hizi zinahusu SIASA? UNAHARIBU JAMII FORUM MPANGILIO WAKE... Nadhani unajua Jinsi ya kuposti Habari

Hii ya Mwanafunzi kutokujua PHOTOCOPY kweli ni SIASA?

Mkuu tatizo ni kwamba uzi kama huu ukiwekwa kwenye education hamtakwenda kuuchangia!!

Hiki ni kipindi cha siasa kwa watanzania.... Hapa ndo penyewe!!
 
Shule ya msingi Kisambi ipo bagamoyo inawalimu 2 tu shule haina nyumba ya mwl, mwl mkuu anatembea males 16 kufika shule, darasa moja wanasoma wanafunzi wa madarasa matatu kwa pamoja yani la 1, la 2,la 3 shule ya miti ipo wazi mifugo inaingia darasani na kunya hovyo, kijiji kimezungukwa na wakulima na wafugaji inatokea siku walimu wote wawili hawapo hawasomi hivi wizara ya elimi ipo?

Waziri husika yupo? Bagamoyo si ndipo alipotoka mkuu wa nchi? Wanasubili M4C iwakomboe? Mwanafunzi photocopy haijui, sayansi na tekinolojia itamkomboa vipi tuliambiwa Ardhi,Siasa safi na uongozi bora nchi itaendelea sasa miaka 50 ya uhuru tupo wapi? Nawasilisha

SOURCE: Taarifa ya habari ITV
Huko hata M4C haiwezi kuwakomboa...huko wenyewe ngoma na ngoma wenyewe...
 
Ungewaona walivyokuwa wakitamba Jumamosi ungedhani darasa kama lile huwezi kuliona kamwe,wakajenge basi hiyo shule
 
Hata mimi nimeiona habari hii ITV kiukweli hali ya shule hiyo sio inatia aibu bali ni ya kuhuzunisha na kusikitisha!.

Mjue hali kama hiyo ipo maeneo mengi tena hapo unaweza ukakuta ndio afadhali maana japo darasa la miti lipo na walimu 2!. Kuna maeneo hakuna mwalimu kabisa, na watoto wanasomea chini ya mti!.

Hii ndio Tanzania yetu na mafanikio ya miaka 50 ya uhuru wetu tena ujinga ni moja ya maadui wetu watatu pamoja na umasikini na maradhi!.

Tukiendelea hivi hivi, watoto wetu na watoto wa watoto wetu, watasherehekea miaka 100 ya taifa hili kwa hali hiyo hiyo!.
 
Back
Top Bottom