Shule binafsi acheni wizi, mnapata faida kubwa sana

Kumbuka miaka ya nyuma hapakuwa na shule za kutwa, walimu walikuwa na wito. kipindi kile serikali ilikuwa inagharimia kila kitu kuanzia madaftari, vitabu na madawati. shule za msingi kulikuwa na bohari za vitabu shule zikifungiliwa vitabu vilikuwa vinasambzwa mashuleni, sekondari wanafunzi walikuwa wanasafirishwa. wanafunzi walikuwa wanakula vizuri. tulipoanzisha shule za kutwa na kata elimu ikaanza kushuka, fikiria una mtoto wa kike wengi wanamaliza darasa la saba wakiwa na umri wa kati ya miaka 13-15 hapo ndiyo foolish age, unampeleka shule ya kata km 50 akapange na kujitegemea, ajipangie ratiba ya kusoma, ratiba ya kupiga, ratiba ya kusali, ratiba ya kutembea na kujilinda na maadui watoto wa kiume, ataweza kuhimili haya yote pamoja na mabadiriko ndani ya mwili wake? basi ikiwa una kauwezom kidogo utajibana ili mtoto akasome hizo shule za binafsi hutaki subiri mjukuu. Hivyo serikali ina haja ya kuboresha elimu kwa shuke zake lkn pia kuthamini mchango wa hizi shule za binafsi lkn pia pia ada zisiwe juu sana zinajenga matabaka ndani ya jamii.
shule za kata zimekuja mambo yamekwishaharibika. Na kimkakati mtoto alitakiwa asome katika kata yake ambapo mwendo wa km 10 at most, Sisi pia tulipokuwa tukisoma kuna waliokuwa wakitoka mbali na shule japo si kigezo cha kutetea hoja. Elimu inakuwa na mwamko pale mwanafunzi anapoona waliotangulia wananufaikaje. Lilivyotekelezwa ni swala ambalo pengine limeleta janga. Kama tunavyoona shule za binafsi pia zina viwango, nyingine ya chini hata kuliko za serikali! Hivyo mikakati ya kuboresha elimu, hasa ya kata, iangaliwe upya ili pasiwe mahari pakupoteza muda.
Pengine kubwa zaidi ni uwzo wa walimu, wengi wanachaguliwa au wanakubaliwa kuingia kufundisha wakiwa na passmark ndogo. Tuongeze kiwango cha entry grade ya kozi za ualimu si hii ya sasa. Pamoja na kuwa tutakuw na uhaba pengineni bora hili kama kiwango kitaongezeka. Kuna wasomi wengi wenye degree nzuri tu wamepunguzwa kazi wahamasishwe kujiunga kufundisha kwa kipindi maalumu kwa mishahara maalumu. Na visiongezwe muda, endapo atapenda kuendlea kufundisha basi aingie katika ajira ya kawaida ya ualimu.
 
shule za kata zimekuja mambo yamekwishaharibika. Na kimkakati mtoto alitakiwa asome katika kata yake ambapo mwendo wa km 10 at most, Sisi pia tulipokuwa tukisoma kuna waliokuwa wakitoka mbali na shule japo si kigezo cha kutetea hoja. Elimu inakuwa na mwamko pale mwanafunzi anapoona waliotangulia wananufaikaje. Lilivyotekelezwa ni swala ambalo pengine limeleta janga. Kama tunavyoona shule za binafsi pia zina viwango, nyingine ya chini hata kuliko za serikali! Hivyo mikakati ya kuboresha elimu, hasa ya kata, iangaliwe upya ili pasiwe mahari pakupoteza muda.
Pengine kubwa zaidi ni uwzo wa walimu, wengi wanachaguliwa au wanakubaliwa kuingia kufundisha wakiwa na passmark ndogo. Tuongeze kiwango cha entry grade ya kozi za ualimu si hii ya sasa. Pamoja na kuwa tutakuw na uhaba pengineni bora hili kama kiwango kitaongezeka. Kuna wasomi wengi wenye degree nzuri tu wamepunguzwa kazi wahamasishwe kujiunga kufundisha kwa kipindi maalumu kwa mishahara maalumu. Na visiongezwe muda, endapo atapenda kuendlea kufundisha basi aingie katika ajira ya kawaida ya ualimu.

Ni kweli: US na Ulaya ili uwe mwalimu, jeshi na daktari lazima ufauli kwa kiwango cha juu, hapa kwetu ni tofauti, juzi nilikuwa mkoa fulani nika chukua boda boda yule aliyenibeba nilisikia wenzake wakimwita teacher baadae niliuliza nikaambiwa kuwa ni mwalimi tena wa secondary alikuwa anatafuta pesa, na huwa anafanya hiyo kazi jioni baada ya kutoka kazini, ina maaba baadhi ya wateja wake ni wanafunzi wake, hapo kuna nidhamu kazini kweli, anyway hoyo siyo issue kubwa, lkn turudi nyuma walimu wa UPE baada ya kupata uhuru ndiyo waliozalisha maprofesa wengi walio vyuo vikuu, mbona kiwango cha elimu yao ilikuwastd 7 tu lkn walikuwa na uelewa mkubwa. lkn sasa mtoto wa form four hakuna kitu kabisa ukimwambia atoe mada mbele ya umati hawezi. sijui tofanye nini tu. shule za kata ziboreshwe ziwe na mabweni na nyenzo nyingine wazazi wahangaike mbele kidogo labda A-LV na chuo.
 
Wadau kama mlisikilizia leo asubuhi redio one,,serilikari imekataza shule binafsi kuongeza ada kwa mwaka ujao na kutoza kiasi kilele walichotoza mwaka huu,nasio kwamba wametoa ada ilekezi,kwahiyo kama shule ada ya mwaka huu ilikuwa mil2,hatakiwi kuongeza ada zaidi ya hiyo unless aweamepata kibari kutoka kwa commissioner wa elimu.Kwahiyo yale mambo 150,000 day na 350,000 bodii hayapo ni uzushi kwan hiyo adaa elekezi ya hivyo viwango ni ya 2008..
 
Kwa Dar maji ya dawasco unapata wapi..!? Watu wenye shule za private ni wabunifu sana, wanadrill visima vya maji ndan ya eneo la shule hvo kuhusu bill ya maji wao hawana, wanatumia solar sana sana ili kuepuka umeme wa Tanesco usio wa uhakika kwa mradi wao, kubwa zaidi ni kuwa wamiliki wengi wa shule wanapoajiri non teaching staff ambao ndio tunawaona kama wasaidizi wanatafta watu wenye professions mbalimbali ili waajiriwe kama wasaidizi wa usafi wa jengo na pia unakuta wanatengeneza umeme, wengine ni mafundi nguo hvo uniforms zinatengenezwa hapo hapo shule na kuuzwa kwa bei ya faida. Hizi shule kubwa kubwa wana strategies mahususi na plan B kibao hivo hukuti wakilia loss. Na hapo bado hawajaikwepa kodi na kuna dili zao kama kukodisha majengo kwa ajili ya events nk. Hio ada elekezi aloitaja mleta thread bado ni kubwa sana maana kna shule zna ada ndogo sana mfano Atlas ya pale riverside wana ada ndogo kama laki sita hivi kwa mwaka na wanapiga faida hakuna. Kna Loyola ya pale mabibo nao wanapiga faida na ada haifiki hata hio elekezi, na kna mashule kama IST wana ada yao ya mwaka inatosha kununua TOYOTA hardbody pickup

Ni kweli nimetoa mfano wa shule za kati ambaoz ndiyo nyingi zipo zinazotoza ada kidodo km 1.5 kwa boarding lkn pia zipo zinazotoza 3-5m kwa mwaka. Kuhusu umeme shule nyingi hazina vifaa vingi vinavyotumia umeme, utakuta matimizi megine ni domestic tu, hasa taa za mwanga wa kusomea tena mwisho saa 3-4 usiku hakuna kuwasha mbaka alfajiri. Maji shule nyingi zina visima virefu ambavyo gharama ni zile za mwanzo ambazo hazizidi 10m. Kwa kufupi ada ni kubwa zimulikwe ada ziwe sawa.
 
Wadau kama mlisikilizia leo asubuhi redio one,,serilikari imekataza shule binafsi kuongeza ada kwa mwaka ujao na kutoza kiasi kilele walichotoza mwaka huu,nasio kwamba wametoa ada ilekezi,kwahiyo kama shule ada ya mwaka huu ilikuwa mil2,hatakiwi kuongeza ada zaidi ya hiyo unless aweamepata kibari kutoka kwa commissioner wa elimu.Kwahiyo yale mambo 150,000 day na 350,000 bodii hayapo ni uzushi kwan hiyo adaa elekezi ya hivyo viwango ni ya 2008..

Ni kweli ada elekezi ipo kwa shule za primary za private, kwa secondary bado kuna utafiti unafanyika kuhusisha wadau mbali mbali, ili kufukia formula itakayotumiwa na wote.
 
Kumbuka miaka ya nyuma hapakuwa na shule za kutwa, walimu walikuwa na wito. kipindi kile serikali ilikuwa inagharimia kila kitu kuanzia madaftari, vitabu na madawati. shule za msingi kulikuwa na bohari za vitabu shule zikifungiliwa vitabu vilikuwa vinasambzwa mashuleni, sekondari wanafunzi walikuwa wanasafirishwa. wanafunzi walikuwa wanakula vizuri. tulipoanzisha shule za kutwa na kata elimu ikaanza kushuka, fikiria una mtoto wa kike wengi wanamaliza darasa la saba wakiwa na umri wa kati ya miaka 13-15 hapo ndiyo foolish age, unampeleka shule ya kata km 50 akapange na kujitegemea, ajipangie ratiba ya kusoma, ratiba ya kupiga, ratiba ya kusali, ratiba ya kutembea na kujilinda na maadui watoto wa kiume, ataweza kuhimili haya yote pamoja na mabadiriko ndani ya mwili wake? basi ikiwa una kauwezom kidogo utajibana ili mtoto akasome hizo shule za binafsi hutaki subiri mjukuu. Hivyo serikali ina haja ya kuboresha elimu kwa shuke zake lkn pia kuthamini mchango wa hizi shule za binafsi lkn pia pia ada zisiwe juu sana zinajenga matabaka ndani ya jamii.

Shikula ushinye katika ubora wako, wewe utakuw? MKG unashikula kisha una shinya ha ha ha ha haa.

uko vizuri, walizoea kujipangia wanavyotaka. ada kila mwaka wanapandisha.

halafu salary utaukuta hawapandishi.

ila hawa bado wajanja, wanaweza wakaacha ada kama ilivyoelekezwa na serikali, michango mingine ikawa balaa.

taaluma badala ya elf 50 wakafanya elf 80.

wait and see.

Shikula Ushinye ha ha ha haa haa haa nimecheka sana.

ungeitwa Shikula Uhuha ha ha ha haa haaa
 
Shikula ushinye katika ubora wako, wewe utakuw? MKG unashikula kisha una shinya ha ha ha ha haa.

uko vizuri, walizoea kujipangia wanavyotaka. ada kila mwaka wanapandisha.

halafu salary utaukuta hawapandishi.

ila hawa bado wajanja, wanaweza wakaacha ada kama ilivyoelekezwa na serikali, michango mingine ikawa balaa.

taaluma badala ya elf 50 wakafanya elf 80.

wait and see.

Shikula Ushinye ha ha ha haa haa haa nimecheka sana.

ungeitwa Shikula Uhuha ha ha ha haa haaa


Kwaani kwenu shikulaushinye lina maana gani? :yawn:
 
Ni kweli nimetoa mfano wa shule za kati ambaoz ndiyo nyingi zipo zinazotoza ada kidodo km 1.5 kwa boarding lkn pia zipo zinazotoza 3-5m kwa mwaka. Kuhusu umeme shule nyingi hazina vifaa vingi vinavyotumia umeme, utakuta matimizi megine ni domestic tu, hasa taa za mwanga wa kusomea tena mwisho saa 3-4 usiku hakuna kuwasha mbaka alfajiri. Maji shule nyingi zina visima virefu ambavyo gharama ni zile za mwanzo ambazo hazizidi 10m. Kwa kufupi ada ni kubwa zimulikwe ada ziwe sawa.

hauko mbali na wazo la serikali na ada elekezi,ila kunakitu tunatakiwa tukijuwe kwanza nacho ni student unit cost ya mwanafunzi anaesoma shule ya serikali kwasasa.kama tunavojua JPM kusema darasa la awali mpaka kidato cha nne watasoma bure maana yake ni kwamba mzazi hatatowa hela yeyote kulipa shuleni isipokuwa sare na madaftari.hela yote yakumsomesha mwanafunzi italipa serikali,namaanisha bajeti yakufanikisha elimu kwamwanafunzi serikali itatowa.hivo elimu siyo bure kama bure serikali imebeba mzigo wa wazazi kulipia elimu.ndo maana tunatakiwa kuwafichua wote wanaokwepa kulipa kodi kwasababu ni kodi tu ndo itakayotuakikishia elimu yauwakika.tukumbuke elimu ni gari hata viuo vikuu vyetu vya serikali bila serikali kuchukua badhi yamzigo wa bajeti zao garama ingekuwa juu sana.tusubiri tarehe 15 disemba mwaka huu nadhani tutakuwa nachakuchangia kwauakika
 
hilo ndilo jibu. Nchi nyingi zilizoendelea huimarisha sana elimu ya umma kwani ni katika kundi hilo ndimo viongozi hutoka. Wengi wa viongozi ambao wanapenda kuweka madaraja wazazi wao walikuwa watu wa kawaida tu na wamesoma shule za kawaida. Kuna mahali tulipokosea tupaangalie tena kwa umakini napo ni pale ubora wa shule za serikali ulipoanza kuporomoka. Maslahi ya walimu yaangaliwe yasipuuzwe. Nakumbuka kuna ahadi nyingi za kulipa malimbikizo ambazo hazijatekelezwa kwa visingizio lukuki. Tuinue morali wa walimu.
Kweli kabisa mkuu
 
aisee....kula gwara kwanza.. Magufuli akumulike kwa jicho la kipekee...! Asikusahau katika cabinet yake
 
Safi sana, mimi nimesoma shule ya serikali na pia nimesona private. Kwa private ada ambayo ipi realistic ni kama 1,200,000/= tena kwa Bweni zaidi ya hapo ni wizi tu. Kumlipia mtoto 2,000,000/= ni wizi wa mchana kabisa. Na kama hawawezi kufuata mashart wafunge shule zao ay wafugie kuku.
 
90% sawa kabisa unavitu vichache ambavyo sidhani kama vinaitaji kuupinga mchanganuo bali ni kma suporting tuu, walimu wa sayansi mishahara yao ipo juu kidogo wapo wachache sana, pili ongezea uuzaji wa uniform za shule wenye shule wananunua kwa bei ya chini kwa wazabuni na wanatupiga mnoo chanzo cha mapato hiki,
 
Mkuu mleta mada shukrani kwa kuleta mchanganuo,

Binafsi naona kwanza unakubaliana kuwa ada elekezi haitosho at least pendekezo ni realistic kuliko wanaosupport hiyo laki tatu n.k.

Pili kuna masuala hujayahighlight si shule zote msahara wa mwalimu ni 800,000 nyingine huzidi hapo especial sgule zote zenye majina makubwa. Wafanyakazi wasio kuwa waalimu wanazidi 8 tena kwa mbali sana. Ni almost idadi sawa na walimu japo hata waalimu umeoverlook kwani kuna waalimu hadi wa PE.

Bills mbalimbali kama maji, umeme, afya n.k

Mwisho shule ni investment naona umeweka hela ya kumantain majengo pekee vipi kuhusu gharama za ujenzi na riba ya gharama za ujenzi.

Mwisho kabisa wajenzi wa shule nao hutaka faida kwenye investment yake at least 20% ya uwekezaji.

Tusiwanyonye tuwasaidie wao na serikali kupata mwafaka kuliko kung'ang'ana na kuwaumiza hiyo ada elekezi

Yaani unakopa ili ujenge shule halafu wazazi wakulipie riba? Elimu siyo biashara vinginevyo fungua duka
Usitufanye malofa na wapumbavu!
 
Mkuu huko vizuri sana shikamooor jama wanapiga pesa Kali kweli kila mwaka uwa wanapandisha ada kila mwaka dah alafu wanaozaliswa ndo hao wapiga dili hta awatusadii chochote wanabaki kubeza Wa serikali wakishidwa wafute kabisa
 
Anaebisha hapa huyu sio mzalendo kabisa ,baada ya kuona shule za serikali hazieleweki wao wakaona shamba la bibi mazao humea bila mboleaa ni kuvuna tuu,sasa hivi wanaanza oooooh twende kwa karibu wa wizara ya Elimu tukaongee naee, daah Hawa watu hawana huruma kabisa
 
Back
Top Bottom