Thomas Juma
Member
- Nov 9, 2010
- 88
- 17
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote mlionisaidia ushauri pamoja na wale mlionisaidia link ya Riwa na Laura kuhusu haemorrhoids kwani nimefanyiwa operation alhamisi ya tarehe 16/06/011 na sasa naendelea vizuri japokuwa bado naendelea kuuguza kidonda.Jamani sina cha kuwapa ila napenda sana kusema ahsanteni sana kwa msaada wenu.
Pole sana mkuu TJ, Mwenyezi Mungu atakupa nafuu, upone haraka.Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote mlionisaidia ushauri pamoja na wale mlionisaidia link ya Riwa na Laura kuhusu haemorrhoids kwani nimefanyiwa operation alhamisi ya tarehe 16/06/011 na sasa naendelea vizuri japokuwa bado naendelea kuuguza kidonda.Jamani sina cha kuwapa ila napenda sana kusema ahsanteni sana kwa msaada wenu.
pole sana najua utakuwa na maumivu na ahsante kwa kutujulishaNapenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote mlionisaidia ushauri pamoja na wale mlionisaidia link ya Riwa na Laura kuhusu haemorrhoids kwani nimefanyiwa operation alhamisi ya tarehe 16/06/011 na sasa naendelea vizuri japokuwa bado naendelea kuuguza kidonda.Jamani sina cha kuwapa ila napenda sana kusema ahsanteni sana kwa msaada wenu.